Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupo sahihi kuna mistari ya njaoMi nilianza kuchoshwa na Tanzania Niliposikia Mwanasheria mmoja wa Serikali kam sikosei akisema kwenye Bendera ya Tanzania hakuna Rangi Ya Njano.
Wameenda Dubai kuuza bandariWadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Adam na Hawa wamepumzishwa kidogo maana wamesimama sana kwa muda.Wadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?View attachment 2688760
Wanasema siyo njano.Mi nilianza kuchoshwa na Tanzania Niliposikia Mwanasheria mmoja wa Serikali kam sikosei akisema kwenye Bendera ya Tanzania hakuna Rangi Ya Njano.
IKULUWadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Adam & Hawa?
IKULU
Mahali popote anapokuwa rais kunakuwa na bendera ya rais naona wameamua hata podium waweke nembo ya rais
Ajakosea ata siku moja sema tulizoea...Ref. Sheria na 15 ya mwaka 1971Mwanasheria alikosea kusema hakuna rangi ya njano