Hii ni kero ya miaka nenda rudi hakuna hatua inayochukuliwa.
Tafadhali NEMC Tanga wadhibiti hawa watu. Kama mmeweza kwenye mabaa na kumbi za harusi, basi na hili halitawashinda.
NEMC yafungia baa, kumbi za starehe 89
Tafadhali NEMC Tanga wadhibiti hawa watu. Kama mmeweza kwenye mabaa na kumbi za harusi, basi na hili halitawashinda.
NEMC yafungia baa, kumbi za starehe 89