NEMC Tanga City wadhibiti Wenyeji na vigodoro vya usiku mitaani, ni kero kubwa sana

NEMC Tanga City wadhibiti Wenyeji na vigodoro vya usiku mitaani, ni kero kubwa sana

Hao ni ngumu fine alipe nani na hata leseni hana kusema utaizuia mambo ya kitamaduni hayo.

Labda umshirikishe mwenyekiti wa mtaa ambaye naye naamini ni mshiriki wa hizo ngoma!

Uwezo wa kuwadhibi upo ila mi nadhani maisha ya wale watu hiyo ndo furaha yao washauriwe tu wapunguze kelele maisha ya kiswazi yapo kama kunangana hivi na kubabaishana
 
Hao ni ngumu fine alipe nani na hata leseni hana kusema utaizuia mambo ya kitamaduni hayo.

Labda umshirikishe mwenyekiti wa mtaa ambaye naye naamini ni mshiriki wa hizo ngoma!

Uwezo wa kuwadhibi upo ila mi nadhani maisha ya wale watu hiyo ndo furaha yao washauriwe tu wapunguze kelele maisha ya kiswazi yapo kama kunangana hivi na kubabaishana
Jadi zetu! kero sana, haya mabo yanapitwa na wakati. Waende kumbini wakate viuno huko
 
Sitisheni vyote, ila msiiguse ile ngoma ya baikoko. Dah! Huwa ninapokuna Tanga kutuliza akili baada ya kuuza ngogwe zangu na iriki; huwa nainjoi sana kule Tanga Pazuri barabara ya 19.
 
Back
Top Bottom