100%Ni kama hauna hoja zaidi ya majungu na taarifa za kupika.
NEMC mpaka wamefikia hatua ya kufunga bar washazunguka sana kutoa elimu sehemu mbalimbali.
Uko na wateja wako ndani ya bar hapo hapo lakini unafungulia mziki usikike mtaa wa tatu ili iweje?
Acheni upuuzi lazima tufike mahala kama nchi tusitaarabike sio kupigiana makelele kila sehemu
Sasa baa na sanaa vikiangamia kuna ubaya gani? Vyote ni vitu vya haramu acha viangamie. Ni sawa kabisa.Rais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio maana sasa mnaitumia NEMC kuhakikisha mnatupora hata hiki tulichobakiwa nacho!
Mh ukiwasikiliza baadhi ya wamiliki wa bar utagundua kabisa NEMC sasa hawana tofauti na TRA wanao funga biashara za watu Pia ni wazi kabisa hata wamiliki wenyewe hawajui kabisa hicho kipimo cha kelele badala yake wanashitukizwa na kuambiwa muziki umezidi kiwango hivyo wanafungiwa bar zao na biashara!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wanazifungua baadhi ya bar na kumbi kutokupiga muziki kabisa…kupitia EFM nimewasikia baadhi ya wamiliki wa bar wakieleza kwa uchungu jinsi ambavyo wameharibiwa biashara zao!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wamezifungia kabisa baadhi ya bar kupiga muziki kabisa ikiwemo Liquid bar ya Dar.
Hivi kweli bar gani itaendeshwa bila muziki nchi hii? Mama Samia hawafanya biashara mnataka wakale wapi? Wataishi vipi?
Hivi kwanini mnataka kuigeuza nchi hii ni ya kidini?
Jamani pesa za serikali mnazitumbua peke yenu na hakuna anayewafanya chochote sasa mnatuzuia hata sisi kuburudika na muzuki? Mnataka tukaishi wapi?
Na nyie mtaamia hukohuko ili mkilewa msiteseke kufika nyumbani bado litakua kosa tenaNasikia watu wakisema Tanzania ina mapori mengi sana, wafanyabiashara wa Bar kama hawawezi kudhibiti kelele za muziki na walevi wahamishie Bar zao huko maporini mbali na makazi ya watu.
watu wenye akili yakuona mbaali. tumeshabain nini kimelegwa kufutwaRais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio maana sasa mnaitumia NEMC kuhakikisha mnatupora hata hiki tulichobakiwa nacho!
Mh ukiwasikiliza baadhi ya wamiliki wa bar utagundua kabisa NEMC sasa hawana tofauti na TRA wanao funga biashara za watu Pia ni wazi kabisa hata wamiliki wenyewe hawajui kabisa hicho kipimo cha kelele badala yake wanashitukizwa na kuambiwa muziki umezidi kiwango hivyo wanafungiwa bar zao na biashara!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wanazifungua baadhi ya bar na kumbi kutokupiga muziki kabisa…kupitia EFM nimewasikia baadhi ya wamiliki wa bar wakieleza kwa uchungu jinsi ambavyo wameharibiwa biashara zao!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wamezifungia kabisa baadhi ya bar kupiga muziki kabisa ikiwemo Liquid bar ya Dar.
Hivi kweli bar gani itaendeshwa bila muziki nchi hii? Mama Samia hawafanya biashara mnataka wakale wapi? Wataishi vipi?
Hivi kwanini mnataka kuigeuza nchi hii ni ya kidini?
Jamani pesa za serikali mnazitumbua peke yenu na hakuna anayewafanya chochote sasa mnatuzuia hata sisi kuburudika na muzuki? Mnataka tukaishi wapi?
Nikiona utetezi wa aina yeyote una "mnataka tukale wapi" nakuwa na wasiwasi nao. Sheria za mazingira si unazijua? Jitetee kwa kutumia sheria badala ya kutia huruma, badala ya kusema wanaua biashara zenu ambavyo ni accusation jiulize kama umezingatia sheria za NEMC na jitetee kisheria kama umekidhi vigezo vya kutoa huduma.
Kifungu fulani cha mwaka fulani kinataka bar iwe mita kadhaa nje ya makazi ya watu, na umetimiza.
Au ukiwa kwenye makazi ya watu upige mziki chini ya decibel ngapi, na umetimiza.
Mambo ya nitakula wapi nami naweza kuja kufungua dampo la kukodisha hapo pembeni ya bar yako likatoa harufu kali kisha niwalilie NEMC wasifunge maana nitakula wapi. Kuna sheria na huruma, inashangaza wabongo tunakimbilia huruma tunaacha sheria
Mto mada umekosea sana.Rais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio maana sasa mnaitumia NEMC kuhakikisha mnatupora hata hiki tulichobakiwa nacho!
Mh ukiwasikiliza baadhi ya wamiliki wa bar utagundua kabisa NEMC sasa hawana tofauti na TRA wanao funga biashara za watu Pia ni wazi kabisa hata wamiliki wenyewe hawajui kabisa hicho kipimo cha kelele badala yake wanashitukizwa na kuambiwa muziki umezidi kiwango hivyo wanafungiwa bar zao na biashara!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wanazifungua baadhi ya bar na kumbi kutokupiga muziki kabisa…kupitia EFM nimewasikia baadhi ya wamiliki wa bar wakieleza kwa uchungu jinsi ambavyo wameharibiwa biashara zao!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wamezifungia kabisa baadhi ya bar kupiga muziki kabisa ikiwemo Liquid bar ya Dar.
Hivi kweli bar gani itaendeshwa bila muziki nchi hii? Mama Samia hawafanya biashara mnataka wakale wapi? Wataishi vipi?
Hivi kwanini mnataka kuigeuza nchi hii ni ya kidini?
Jamani pesa za serikali mnazitumbua peke yenu na hakuna anayewafanya chochote sasa mnatuzuia hata sisi kuburudika na muzuki? Mnataka tukaishi wapi?
Wanaokunywa Pombe zanzibar si Waislamu, wamehusianaje na shehe?Zanzibar wao hunywa pombe wakiwa wamejifungia vyumbani kwa kumuogopa shehe, sisi hapa Tanganyika tunakula Gambe na Mziki na shehe mwenyewe anajumuika.
Kwani bar ni sehemu ya kupiga mziki?Wanaotoa vibali vya hzo bar nao wana makosa kama eneo ni residential unatoaje kibali cha bar na lounge??
Hatutaki na Makelele ya CCM nambari WaniFuateni masharti acha kelele zisizo na msingi.
Au una mtoto mchanga. Mziki unadunda hadi mtoto anataka kutokwa roho. Mtoto anakua kwenye zile kelele, mwisho Wa siku ubongo haujengeki. Tunaishia kuwa na chokora na vibaka wengi kumbe ni watoto walioathirika bongo zao.Mkuu tusiingize siasa kila jambo.
Muziki wa juu unatesa sana raia karibu na bar.
Unasababisha hadi presha kwa wazee.
Hebu fikiri una mgonjwa ndani halafu muziki uko juu hadi kuta za nyumba zatetema
Kwani yapo Kila siku? Yapo kipindi Cha Kampeni tuuHatutaki na Makelele ya CCM nambari Wani
Punguza ujuajiNaomba kujua kama umejenga baa nje ya mji na raia wakaja kujenga hukohuko hapo kosa ni la nani?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ujengewe sanamu lako mremboInashangaza unalilia kelele, bar nyingi zimewekwa katikati ya makazi ya watu. Kuna magonjwa yasiyotaka mishtuko, kuna watu kwenye kelele hawalali. Kuna wanafunzi wanahitaji kujisomea.
Mbaya zaidi hizi bar wengine wamewekeana karibu, kwa maana hiyo wanashindana nani muziki wake utasikika zaidi. Wafikirie na watu wengine wanaoishi jirani. Wafanye utaratibu muziki uwe wa wastani usiokera wengine.