NEMC wamedhamiria kuua baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki

Wanaotoa vibali vya hzo bar nao wana makosa kama eneo ni residential unatoaje kibali cha bar na lounge??
Kuna sheria kuwa miziki isivuke level flani mkuu.
Za nmna hizo nyingi ni grocery sama binadamu ni wagumu wanageuza bar na mziki mnene
 
Umeeleza mengi, lakini umeacha point kuu, sababu za NEMC kuzuia kupigwa kwa mziki. Haya anza na hilo, ili tuchangie Thread kwa hoja.
 
🀣🀣🀣🀣🀣πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸΊπŸΊπŸΊπŸΊπŸΊ
Mkuu leo jioni nataka nikanywe pale Kitaa sijui nikualike kama una nafasi? na tutapiga mziki wa hatareeπŸ˜„
 
Hii Ni jambo jema
starehe yako inanihusu nini mie ambaye sihusiki
Tujifunze kufuata sheria taratibu na kanuni tulizo jiwekea wenyewe

Unakuta baa ipo karibu na makazi ya watu kelele usiku kucha kwahiyo ambao hawanywi au kustarehe ndio hawana haki

Wakitoka kwa bar waende kwa nyuma za ibada

Kitakacholiponya hili taifa ni KUFUATA SHERIA TU SI KINGINE
 
Sanaa haikuzwi na baa.
Miziki inaypigwa bar hawalipii hata mirahaba yoyote
Kama ulikwenda bar kunywa bia tatu kisha uondoke kama ukipigwa mziki mzito humo ujue hutaondoka maana kila mziki utakaopigwa utakuwa unajidanganya kwamba unapigiwa wewe πŸ˜…πŸ˜… Kuja kutahamaki pesa yote kwisha habari yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unajua walevi hawaoni shida sababu kwanza anakwenda kunywea mitaa ya mbali huko akirudi kwake yupo Chakari hata kama kuna baa ipo mtaani kwake hizo kelele haoni shida maana analala kama amekufa,

Ila hata walevi wenyewe hawana familia jamani?au ndio vijana wa hovyo?
 
MEMC wanaua Biashara na local economy kwasababu ya kumfurahisha Mzanzibari mmoja, Pombe ni asili yetu Tanganyika sio Nchi ya Kiislamu kama Zanzibar.

Karibia MEMC watatulazimisha kuvaa kanzu.
NEMC kandamizia hapo hapo
 
Zanzibar wao hunywa pombe wakiwa wamejifungia vyumbani kwa kumuogopa shehe, sisi hapa Tanganyika tunakula Gambe na Mziki na shehe mwenyewe anajumuika.
 
Waje na kwa haya makanisa ya walikole katikati ya makazi ya watu
 
Morogoro,njia ya Mkundi Hospital inaitwa LLC kama sijakosea,aisee wana eneo lao zuri na Wanalaza wagonjwa.
Pembeni yake kuna kanisa hilo wanaanza ibada zao mchana..ni hatari hatari tupu.
 
Alitekuvisha katambuga na kukunyima elimu hadi leo Kenya kutupita kwa mbali.

Nani mjinga?
Shida humfanya mtu kuwa na akili nyingi ila unakuja kuzigundua hizo akili when it’s too late umeshachelewa kidogo !! Kwahiyo kila jambo lina faida zake na hasara zake πŸ˜…
 
Ila makelele ya kanisani na msikitini mnaona sawa hazina shida kwa wagonjwa!
 
Shida humfanya mtu kuwa na akili nyingi ila unakuja kuzigundua hizo akili when it’s too late umeshachelewa kidogo !! Kwahiyo kila jambo lina faida zake na hasara zake πŸ˜…
Nyerere hajaleta akili yoyote zaidi ndie kaiuza Tanganyika yetu kwa kikombe cha kahawa.
Very sad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…