Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu alfajiri ni mda wa dakika mbili ila kuna wale wanapiga kelele usiku mzima au zile speaker za wauza dawa na mitumbaHata mimi NEMC nashangaa kwanini wanachukua muda mrefu kuweka utaraibu wakati ni suala la kutamka tu na kumaliza kazi. Wawaelekeze wenzetu wawe wanatumia alarm kuwambusha muda wa ibada unapofika badala ya kutupigia mikelele yao kila alfajiri tunashindwa kulala.
Yaani kuna kelele hazivumiliki na kama wakisema wadhibiti adhana wataomba na kengengele za jumapili zipigwe marufuku
Naona Ibada ziwepo ila sio zile za karaha
NEMC hawana meno na sio hao tu hata mahakama na kila sehemu sheria ni ngumu kuzifuata