tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #41
Mkuu hatusemi nyumba ya ibada ifungwe bali tunashauri watumie busara kung'oa haya maspika waliyoweka nje wayaingize ndani. Waumini wapo ndani haya maspika yapo nje kwa kazi gani kama sio kuwapigia kelele wananchi wasiohusika na ibada yao?Sio ukorofi bali Sala zilikuwepo miaka yote na hakuna sheria inasema adhana marufuku...