Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kuwaambia ni wapi huko kuna hayo makelele.Hata kama serikali haina dini lakini hapa tulipofika sasa kuna haja ya serikali kuingilia kati. Hapa mtaani kwangu leo hakukaliki kwa sababu ya kelele za maspika ya ibada. NEMC walisema wataweka utaratibu wa kufanya ibada lakini sijui wanakwama wapi mpaka sasa hawajachukua hatua zozote. Hadi natamani niuze nyumba hii nihamie mkoa mwingine.
Kuna nyumba nne za ibada kuzunguka makazi yangu na kila nyumba ina spika nne – kila spika imetazama upande mmoja wa dunia (kusini, kaskazini, magharibi na mashariki). Jumla ya maspika ni 16 na wote wanahubiri kwa wakati mmoja, tena kwa sauti kubwa sana. Wewe fikiria maspika 16 yamekuweka kati na yote yanaunguruma kwa wakati mmoja! Kuna kusikilizana hapo?
Halafu leo ni kama vile wameamua kuongeza sauti kwa makusudi ili kutukomesha. Nipo hapa nafanya kazi zangu za kujenga taifa lakini nahisi kichwa kinawaka moto. Sasa kama watu wanaohubiriwa wapo ndani ya nyumba ya ibada kuna haja gani ya kuning’iniza maspika juu ya paa kama sio ukorofi?
Na hapo bado kesho na keshokutwa wenzetu watakapoungurumisha mavinanda na kuimba mapambio. Na wao nyumba zao za ibada zipo hapa hapa jirani. Ni kero kubwa sana kwa kweli, hasa unapokuwa unafanya kazi inayohitaji utulivu.
Naomba NEMC waingilie kati mara moja kwa kuweka utaratibu wa ibada wa kiistarabu badala ya huu utaratibu wa ovyo wa kuhanikiza kelele mtaa mzima.
Ni kero sana huku Kimara Bonyokwa kuna shule ya Vertas kuna kanisa Juu Vyumba vinane kuna kanisa halafu wote wanafungua mahubiri kwa makelele....sijui ni nani kawadanganya makelele ni njia ya kuomba. Walokole ni wabinafsi sana..hawajali kbs kama kuna wagonjwa. Huu ujinga sijui utakoma lini.Hata kama serikali haina dini lakini hapa tulipofika sasa kuna haja ya serikali kuingilia kati. Hapa mtaani kwangu leo hakukaliki kwa sababu ya kelele za maspika ya ibada. NEMC walisema wataweka utaratibu wa kufanya ibada lakini sijui wanakwama wapi mpaka sasa hawajachukua hatua zozote. Hadi natamani niuze nyumba hii nihamie mkoa mwingine.
Kuna nyumba nne za ibada kuzunguka makazi yangu na kila nyumba ina spika nne – kila spika imetazama upande mmoja wa dunia (kusini, kaskazini, magharibi na mashariki). Jumla ya maspika ni 16 na wote wanahubiri kwa wakati mmoja, tena kwa sauti kubwa sana. Wewe fikiria maspika 16 yamekuweka kati na yote yanaunguruma kwa wakati mmoja! Kuna kusikilizana hapo?
Halafu leo ni kama vile wameamua kuongeza sauti kwa makusudi ili kutukomesha. Nipo hapa nafanya kazi zangu za kujenga taifa lakini nahisi kichwa kinawaka moto. Sasa kama watu wanaohubiriwa wapo ndani ya nyumba ya ibada kuna haja gani ya kuning’iniza maspika juu ya paa kama sio ukorofi?
Na hapo bado kesho na keshokutwa wenzetu watakapoungurumisha mavinanda na kuimba mapambio. Na wao nyumba zao za ibada zipo hapa hapa jirani. Ni kero kubwa sana kwa kweli, hasa unapokuwa unafanya kazi inayohitaji utulivu.
Naomba NEMC waingilie kati mara moja kwa kuweka utaratibu wa ibada wa kiistarabu badala ya huu utaratibu wa ovyo wa kuhanikiza kelele mtaa mzima.
Hiyo "keroo" kwa sauti ya mama Sinya.Aisee hapa kwetu pua na mdomo na nyumba za ibada tatu ni mseto,,,,,,jamani jamani ni kero kero
USAGAJIDINI
USHOGA
MISAADA
COCAINE
CHANJO
Ni silaha ya kumwangamiza mtu mweusi huku akijisifu kwa Ujinga wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa mtaani,Kigamboni kwa Steven kuna hili kanisa hatujawahi kulala jamani, Wanapiga mziki mkubwa na kukemea mapepo hadi saa 12 alfajir na wanaona wako tu
Hayo mahekalu ya wezi yangechomwa moto kama yasipofungiwa. Tusingoje akina Mackenzie wengine wa ShakahorrorHata kama serikali haina dini lakini hapa tulipofika sasa kuna haja ya serikali kuingilia kati. Hapa mtaani kwangu leo hakukaliki kwa sababu ya kelele za maspika ya ibada. NEMC walisema wataweka utaratibu wa kufanya ibada lakini sijui wanakwama wapi mpaka sasa hawajachukua hatua zozote. Hadi natamani niuze nyumba hii nihamie mkoa mwingine.
Kuna nyumba nne za ibada kuzunguka makazi yangu na kila nyumba ina spika nne – kila spika imetazama upande mmoja wa dunia (kusini, kaskazini, magharibi na mashariki). Jumla ya maspika ni 16 na wote wanahubiri kwa wakati mmoja, tena kwa sauti kubwa sana. Wewe fikiria maspika 16 yamekuweka kati na yote yanaunguruma kwa wakati mmoja! Kuna kusikilizana hapo?
Halafu leo ni kama vile wameamua kuongeza sauti kwa makusudi ili kutukomesha. Nipo hapa nafanya kazi zangu za kujenga taifa lakini nahisi kichwa kinawaka moto. Sasa kama watu wanaohubiriwa wapo ndani ya nyumba ya ibada kuna haja gani ya kuning’iniza maspika juu ya paa kama sio ukorofi?
Na hapo bado kesho na keshokutwa wenzetu watakapoungurumisha mavinanda na kuimba mapambio. Na wao nyumba zao za ibada zipo hapa hapa jirani. Ni kero kubwa sana kwa kweli, hasa unapokuwa unafanya kazi inayohitaji utulivu.
Naomba NEMC waingilie kati mara moja kwa kuweka utaratibu wa ibada wa kiistarabu badala ya huu utaratibu wa ovyo wa kuhanikiza kelele mtaa mzima.
Kwa kuwa tu Wakristo ni wapole, vipi kuhusu (Adhana) Msikitini, wakiwaguza wataisoma namba, ni maandamano nchi nzima, hawa jamaa wana umoja sana.Mkuu haya makelele yapo kila mahali. Mimi nimeweka tu kama sampo ili NEMC waingilie kati.
Hili ni tatizo kubwa sana mkuu. Inatakiwa NEMC wafanye kazi 24/7 maana hali ni mbaya huku mitaani.Ni kero sana huku Kimara Bonyokwa kuna shule ya Vertas kuna kanisa Juu Vyumba vinane kuna kanisa halafu wote wanafungua mahubiri kwa makelele....sijui ni nani kawadanganya makelele ni njia ya kuomba. Walokole ni wabinafsi sana..hawajali kbs kama kuna wagonjwa. Huu ujinga sijui utakoma lini.
Baada yakuwaripoti kwa mwenyekiti wa mtaa nini kilifuata?Hapa mtaani,Kigamboni kwa Steven kuna hili kanisa hatujawahi kulala jamani, Wanapiga mziki mkubwa na kukemea mapepo hadi saa 12 alfajir na wanaona wako tu
Kwamfano tuseme yeye alilikuta kanisa hapo, je hii inatoa uhalalai wa hayo makelele kuendelea kuwepo?[emoji848]Mkuu wakat unajenga mitaa hyo uliyakuta hayo makanisa au makinisa yalikukuta ww!!tuanziee hapo
Vpi mawardat mlijaribu kuwaripoti kwa serikali ya mtaa,, kama ndio nini kilifwata?Aisee hapa kwetu pua na mdomo na nyumba za ibada tatu ni mseto,,,,,,jamani jamani ni kero kero
Vpi Mr tpaul ulijaribu kwenda serikali ya mtaa wako?Basi tunaomba NEMC watupe pointment ni lini watakuja kutusaidia huku. Tunanyanyasika mno 😀 😀 😀
DINI
USHOGA
MISAADA
COCAINE
CHANJO
Ni silaha ya kumwangamiza mtu mweusi huku akijisifu kwa Ujinga wake