Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Alipiga hesabu kukaa gerezani miaka 9 na kwenda kupigana kipi bora, akaona akajaribu nafasi yake. Lakin bahati haikuwa yake
A man got to survive , he was just not lucky
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipiga hesabu kukaa gerezani miaka 9 na kwenda kupigana kipi bora, akaona akajaribu nafasi yake. Lakin bahati haikuwa yake
Mama anajitahidi sana kuleta fursa kwa Watanzania, na pindi michakato inapoanza ya kipesa apo ndipo wapigaji hasa watendaji wanaanza kuzipiga pasipo kujali kusudi za hizo pesa....na mwisho wa siku ukija kupima mrejesho wa hizo pesa unakutana na harufu tu na mabaki ya project lkn muendelezo wa hizo project hakuna, tunapaswa kutoka uko, ukipewa nafasi Jitahidi uache legacy nyuma yako, tunakoelekea uko miaka ijayo chakula ndo kitakuja kuwa ndo mitaji ya matifa, na wala siyo mafuta wala rasilimali Kingine.Tuombe hii elimu na pesa ziwafikie kweli walengwa na usiwe upigaji kama kwenye mipango na pesa za kuwasaidia wavuvi.
Maneno matupu hayatoshi.