Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
- Thread starter
- #21
Nani amemtuma mbowe kuwa gaidi?Wewe mpuuzi Nani akiagiza Sabaya akamatwe na achunguzwe na hatimaye kufikishwa mahakamani?
Kwahiyo mapato, kupanda, ardhi ya waislamu kurudishwa ilikuwa ni kibali cha yy kufanya uhalifu kwa kuongoza genge lenye silaha, kupora mali za watu, kunyanganya fedha, nk
Kichwa maji wwe hujui hata unachotetea. Pumbavu!