Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Yaani anaokoteza okoteza vijihabari kama anayejisaidia vichakani na kuleta hapa.
Najiuliza kwa nini wanao mtetea Sabaya uwezo wao wa akili uko chini sana?
Maana kama ni uchama mbona ndani ya CCM wenye akili wakiwamo viongozi wa juu walikasirishwa kabisa na tuhuma hizo?
Wanaomtetea Sabaya akili zao vipi
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa na ukwepaji kodi.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
We huna akili Sabaya ni jambazi kama ni shemeji yako ndogo ujue.


Hata waliofungwa nao yapo maziluri walofanya,FICHA ujinga wako.

Ni watu wangapi kawatesa ,Familia ngapi kazisababishia kuishi maisha ya uyatima?
 
Punguza Bangi....Mahakama imetamka Sabaya ni Jambazi wa kutumia Silaha na haki yake ni 30 miaka...

Hakuna mfungwa wa Kisiasa anayeitwa Sabaya... Dada angu tendeni Haki namtakuwa Huru!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa na ukwepaji kodi.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Umemithi dyudyu ya sabaya
 
Ila kalivyonyolewa kamekuwa kazuri.Hayo mema aliyoyafanya ilikuwa ni kufunika akili zenu kama zilivyofunikwa sasa ili baya lolote mkilisikia muone sawa tu,kama mwendazake alivyofunika akili za watanzania kwa kumtaja Mungu kila wakati.HAKIKA KUFA KWAKE YESU SISI TUMEPONA.Ha ha haaa mtasaga meno wakati wengine tuliozoea shida...walaaa
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa na ukwepaji kodi.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.

Magereza msiende kumpa cheo cha unyampala huyo JAMBAZI SUGU SABAYA
 
Bila Sabaya mbunge wa ccm angemshinda Mbowe?
Achana na Watu wanaotumia mihemko kujibu hojja.
Kulikuwa na wale MaTycooon wenye Viwanda vya pessa Bandia wanafyatua noti za Tanzania Shilling Billions of Money. Polisi walikuwa wamewekwa mfukoni na hao jamaa. Lkn Ole Sabaya alikamata mnyororo wooooote leo Noti bandia hapa Tanzania imekuwa adimu.
Somtime hata Shetani ana mazuri yake. Sabaya is a Gentleman ayseee tumuombee heri kwa mabaya yake na tumsifu kwa Ujasiri wa mazuri yake.
 
Na wews jiandae mtafungwa wote mliokuwa mnawapora wananchi mali zao kwa kutumia mamlaka mlizopewa.
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa na ukwepaji kodi.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Tumepiga mbali next move tunapiga mtoto wa baba kisha tunaingia nyumbani chato mtapenda mziki huu.
 
Achana na Watu wanaotumia mihemko kujibu hojja.
Kulikuwa na wale MaTycooon wenye Viwanda vya pessa Bandia wanafyatua noti za Tanzania Shilling Billions of Money. Polisi walikuwa wamewekwa mfukoni na hao jamaa. Lkn Ole Sabaya alikamata mnyororo wooooote leo Noti bandia hapa Tanzania imekuwa adimu.
Somtime hata Shetani ana mazuri yake. Sabaya is a Gentleman ayseee tumuombee heri kwa mabaya yake na tumsifu kwa Ujasiri wa mazuri yake.
Na Sabaya atarudi kuwa kiongozi tena
 
Tulieni na gaidi wenu afungwe sasa


Kwa jinsi mwenendo wa kesi unavyoenda kwa mtu mwenye kufuatilia namna upande wa mashitaka mashahidi walivyotoa ushahidi wao na kuhojiwa ni wazi hicho ulichoandika hakitakuwepo kamwe.

Labda yaibuke mapya .

Iwapo haki haitatendeka Mwenyezi Mungu ataingilia kati.

Mwenyezi Mungu ndie mwenye kushikilia hatima ya kila mwanadamu.

Kulikuwa na Viongozi walojiona miamba wako wapi sasa?! [emoji2369][emoji2369]

Tumuogope sana Mwenyezi Mungu kwa kutendeana yaliyo ya haki .

Mungu hupendezwa na haki na huchukizwa sana na udhalimu pamoja na dhuluma.
 
Yooote hayo yalifanyika kwa dhuluma na kuumiza watu.
Kuuvunja mnyororo wa utengenezaji na usambazaji wa pesa bandia unategemea watu wasiumie hasa wale waliokuwa washika dau wa mnyororo!!!? Amka kumekucha.
 
Back
Top Bottom