Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

CCM waliiba kura nchi nzima na wameua sana, mfano kitendo cha kumwonea Sugu na kumfunga na kupora ubunge kilinisikitisha sana
 
CCM waliiba kura nchi nzima na wameua sana, mfano kitendo cha kumwonea Sugu na kumfunga na kupora ubunge kilinisikitisha sana
Mawakala wa Chadema wakati wanaibiwa kura walikuwa wapi?
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.

Sabaya: Haki Imetendeka na kuonekana ikitendeka

Angeachiwa huyu mbona "mob justice" ingemhusu, kama mnampenda subirini hasira za wahanga wake japo zitulie.

Huyu bwana alikuwa mwovu sana. Hilo wala halina ubishi.
 
Hebu leteni number ya mchumba wake watu waanze yao..miaka 30 na bado ana kesi nyingine kutoka lini?...mtoto mzuri anahitaji huduma zote za kiuchumi na kimwili.. number tafadhali.

Dogo hakuna na adabu kabisa huyu, wacha tumfundishe na yeye zamu yake uchungu wa kuliwa vya kwake.

Bahati mbaya ni Jela za TZ; ingekuwa ulaya kule wanaruhusu garagha ila bomgo mzee ni mwendo wa vichelema vya sabuni.
 
Hebu leteni number ya mchumba wake watu waanze yao..miaka 30 na bado ana kesi nyingine kutoka lini?...mtoto mzuri anahitaji huduma zote za kiuchumi na kimwili.. number tafadhali.

Dogo hakuna na adabu kabisa huyu, wacha tumfundishe na yeye zamu yake uchungu wa kuliwa vya kwake.

Bahati mbaya ni Jela za TZ; ingekuwa ulaya kule wanaruhusu garagha ila bomgo mzee ni mwendo wa vichelema vya sabuni.
Ushajiuliza kwa kesi ya ugaidi mbowe atatoka lini?
 
Akibahatika kumaliza...atatoka 60+. Hakuna hata uzao wake dunia hii. Sabaya inaonekana ni mchoyo...au hataki majukumu.. Kwa nini hajaoa au hata kuwa na mtoto...aliona raha kule kwa mpalange.... Wekeni vikojoleo sehemu sahihi
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Pole ila hauko fare untangling waliofaidika huangalii walioumizwa weka mpira kati ndiyo ufanye maamuzi
 
Akibahatika kumaliza...atatoka 60+. Hakuna hata uzao wake dunia hii. Sabaya inaonekana ni mchoyo...au hataki majukumu.. Kwa nini hajaoa au hata kuwa na mtoto...aliona raha kule kwa mpalange.... Wekeni vikojoleo sehemu sahihi
Gaidi ndiyo atatoka na 60+
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Those are things he could have done soberly and within the parameter of good conducts and legitimate influence

On the contrary, the things you are proudly giving him credits for are the ones that have had damaged him. The reason being this simple that, He was using illegitimate and banditry ways to achieving them. Speaking authentically, you can't approve such things a plus!!!
 
Those are things he could have done soberly and within the parameter of good conducts and legitimate influence

On the contrary, the things you are proudly giving him credits for are the ones that have had damaged him. The reason being this simple that, He was using illegitimate and banditry ways to achieving them. Speaking authentically, you can't approve such things a plus!!!
Mbowe anakula mvua lini
 
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, halafu ana kesi ya pili, na pengine ya tatu, sitashangaa akipigwa jumla miaka 50 au 60. Kumbuka time is money hata akikaa miaka 15 jela na akaachiwa kama Babu Seya tayari atakuta na Mchumba ana watoto na dunia imesonga sanaaaa....Anaweza kukuta nchi iko mikononi mwa ACT Wazalendo au Rais ni Lissu wa Chadema hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....
Sabaya ni jambazi sugu
 
Kweli nchi hii ilikuwa imeenda mbio sana yaani alikuwa anatekeleza maagizo toka juu ya kubaka,kupora,kwa kutumia genge lake na mibunduki kweli???utawala uliofitinika aisee!!!!
 
Back
Top Bottom