Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Nandy nae anaonewa wivu ? ebo ?!Kuna saa nahisi hizi nyuzi za wivu zinaanzishwa na ndugu wa Ruge. Poleni wakuu ndo wameshaoana
Yani Nandy nae anaonewa wivu ? ebo
Mkuu mimi siolewi, naoa.Ndio ni kama vile mlitaka muolewe nyie
Sema tena na tena. Kwa waswahili ngono ni tendo la ushirikiano. Mwanamke ni wa kila mwanaume mwenye ''kisu'' kirefu. Utasikia wanaambia wanawake wao, unaibania ya nini inakwenda kuliwa na nyelele hii ukifa! Mila mbovu kabisa hii.Waswahili ndiyo zeu kuoa makayamba. Huku kwetu na pwani, sifa ya mwanamke ni kuwa na VYUO vingi , aliyekubuhu, limeachwa mara kama tano halafu unaoa ndiyo zenu!
"Kushaba Eshabile"
Hili hata mm nahisi ni hivyo kwao Nandy nasikia hela ipo Nenga apeche,kifuatacho ni kulelewa tuuShida ni kwamba Wille Hela Hana na Faustina Charles kwao Hela Ipo so ni Kama William kaolewa Yeye
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi siolewi, naoa.
Hivi ukioa mtu ambae kwao hela zipo..zinahamiaje kwako wewe ulieoa?Shida ni kwamba Wille Hela Hana na Faustina Charles kwao Hela Ipo so ni Kama William kaolewa Yeye
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hawajapenda nandy alivyoolewa,,kama vile wangeolewa wao,Kuna saa nahisi hizi nyuzi za wivu zinaanzishwa na ndugu wa Ruge. Poleni wakuu ndo wameshaoana
Ww huoni hapo kuna mpango wa Mungu ? Yaan Sir God kampunguza mzabuni mmoja ili nengale ajishindie tenda kiurahisiiii😂😂😂😂Hii inayoitwa "wedding" Ina somo kubwa kwa wanawake, wanaume na ndugu za maharusi.
Nenga alimpenda Nandy kitambo sana, lakini ndugu wa Nandy walimtema na kumdisi Nenga kuwa ni mhuni na hana hela. Nandy akachumbiwa na Ruge Mutahaba ambaye bahati mbaya akaitwa na Mungu.
Nenga akamrejea Nandy na leo wameoana. Nenga ndiyo anastahili kupongezwa kwa moyo wa kutokata tamaa na nafsi yake kutochafukwa na kufuta upendo kwa Nandy.
Kitu ambacho mimi siwezi kukifanya wala kukubaliana nacho.
Duh...hawa wanaume wasionudhuria vikao sasa itabidi tuwawekee adhabu kali sana.Hii inayoitwa "wedding" Ina somo kubwa kwa wanawake, wanaume na ndugu za maharusi.
Nenga alimpenda Nandy kitambo sana, lakini ndugu wa Nandy walimtema na kumdisi Nenga kuwa ni mhuni na hana hela. Nandy akachumbiwa na Ruge Mutahaba ambaye bahati mbaya akaitwa na Mungu.
Nenga akamrejea Nandy na leo wameoana. Nenga ndiyo anastahili kupongezwa kwa moyo wa kutokata tamaa na nafsi yake kutochafukwa na kufuta upendo kwa Nandy.
Kitu ambacho mimi siwezi kukifanya wala kukubaliana nacho.
Huyo RM si ilisemwa aliaraaipiishwa na dalii kimoko jmn..embu acha inyeshe kwanza tujue panapovujaHii inayoitwa "wedding" Ina somo kubwa kwa wanawake, wanaume na ndugu za maharusi.
Nenga alimpenda Nandy kitambo sana, lakini ndugu wa Nandy walimtema na kumdisi Nenga kuwa ni mhuni na hana hela. Nandy akachumbiwa na Ruge Mutahaba ambaye bahati mbaya akaitwa na Mungu.
Nenga akamrejea Nandy na leo wameoana. Nenga ndiyo anastahili kupongezwa kwa moyo wa kutokata tamaa na nafsi yake kutochafukwa na kufuta upendo kwa Nandy.
Kitu ambacho mimi siwezi kukifanya wala kukubaliana nacho.
Huna kitu SASA.......utafanyaje......Ila jamaa ilikuwa ni ridhiki yake mwenyezi mungu ameamua Kwa haki.......Hii inayoitwa "wedding" Ina somo kubwa kwa wanawake, wanaume na ndugu za maharusi.
Nenga alimpenda Nandy kitambo sana, lakini ndugu wa Nandy walimtema na kumdisi Nenga kuwa ni mhuni na hana hela. Nandy akachumbiwa na Ruge Mutahaba ambaye bahati mbaya akaitwa na Mungu.
Nenga akamrejea Nandy na leo wameoana. Nenga ndiyo anastahili kupongezwa kwa moyo wa kutokata tamaa na nafsi yake kutochafukwa na kufuta upendo kwa Nandy.
Kitu ambacho mimi siwezi kukifanya wala kukubaliana nacho.