mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Inawauma sana yaan wanatamani nenga angewaoa wao,Inashangaza sana kuona wanaume wanaumia kwa ile ndoa kutwa kuanzisha nyuzi zisizoeleweka ili mradi tu waonyeshe chuki zao
Maana sio kwa nyuzi hizi wanazoshusha hawa wanaojiita wanaume,
NI AIBU KUBWA