Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata dear linafanana na hayo. Nikiitwa dear nasisimkaKuna maneno mazuri zaidi ya hilo mfano my beloved, darling and cherished
Inakwaza sanaHata mimi inani kwaza dear ila amna namna dear
LImekaa kimahaba, inakwaza mtu usiyemfahamu kukuita dearKwani dear ni neno la kibantu?Waliotuletea wameleta pia na matumizi yake.Waingereza ndio wenye hiyo lugha. Unadai sisi sio Europeans tatizo dear ni neno la kiingereza. Unataka kuleta tafsiri unayoitaka wewe?
Dear maana yake ni mpendwa, si lazima awe mpenzi. By the way kwa wanaume hatutumi hili neno hovyo eti umwite mwenzako dear. Sisi ni mkurugenzi, boss, kiongozi. Nyie wanawake ndio mnaitana hata love, sijui mpenzi.Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Mwanaume kaniita mimi dear, na sina mazoea nae. Imekaaje hiyo. Tena ni msgDear maana yake ni mpendwa, si lazima awe mpenzi. By the way kwa wanaume hatutumi hili neno hovyo eti umwite mwenzako dear. Sisi ni mkurugenzi, boss, kiongozi. Nyie wanawake ndio mnaitana hata love, sijui mpenzi.
Are you okay?Toa upumbavu wako,mzike kwanza mjomba ndo uje kulia lia mtandaoni. Jf imeingiliwa na watoto wa alfu2. PUMZIKA KWA AMANI MJOMBA, hakika umeacha mpwa jinga duniani.
Zamani ilikuwa kwenye barua tu. Nazungumzia enzi za nyerereTunawaita dear wakurugenzi kwenye makampuni katika barua wewe unazungumzia zamani ipi ambayo hilo neno lilikuwa halina maana nzuri achana na dear za kina ZUCHU dear maana yake ni mpendwa katika mazingira mengine
Labda ni kuonyesha good gesture. Wanawake mnaitana vyovyote kimahaba mahaba. Mimi tu mwanaume akiniambie nimekumiss namkata jicho hilo kwa mshangao.Mwanaume kaniita mimi dear, na sina mazoea nae. Imekaaje hiyo. Tena ni msg
Sio kawaida. Linaamsha hisia hasa kama anayekwambia hivyo ni jinsia tofautiMbona ni jambo la kawaida tu dear?
Dogo anataka kukukula kuwa naye makini dearKwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Ungeambiwa Darling hisia zako zisingeamka tu zingetembea.Sio kawaida. Linaamsha hisia hasa kama anayekwambia hivyo ni jinsia tofauti
Kwenda shule hakumaanishi kudestory asili yetu wabantu, huyu mtoa mada namuelewa vizuri kuna namna unakuta mtu anakuita iwe kwa sauti au kwa msg aahhrr inakera hasa ukute wa jinsia yako dah inafikirisha....pamoja na masters yangu sijawahi kupenda kuitwa itwa ivo vimajina bila uhusiano wowote....na wewe punguza ulimbukeni ukahisi kusoma ndo kubleach uhalisia wa maisha ya mtzUpumbavu wako wakutokwenda shule. Dear maana yake ni mpendwa kwa kiswahili
Yeah,linaamsha hisia nzuri ya kuona kuwa huyo mtu anakujaliSio kawaida. Linaamsha hisia hasa kama anayekwambia hivyo ni jinsia tofauti
ahahaaaaa msago wa mpendwa...Sasa neno Dear, na kusagana wapi na wapii? Lol