Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Kwani dear ni neno la kibantu?Waliotuletea wameleta pia na matumizi yake.Waingereza ndio wenye hiyo lugha. Unadai sisi sio Europeans tatizo dear ni neno la kiingereza. Unataka kuleta tafsiri unayoitaka wewe?
LImekaa kimahaba, inakwaza mtu usiyemfahamu kukuita dear
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Dear maana yake ni mpendwa, si lazima awe mpenzi. By the way kwa wanaume hatutumi hili neno hovyo eti umwite mwenzako dear. Sisi ni mkurugenzi, boss, kiongozi. Nyie wanawake ndio mnaitana hata love, sijui mpenzi.
 
Dear maana yake ni mpendwa, si lazima awe mpenzi. By the way kwa wanaume hatutumi hili neno hovyo eti umwite mwenzako dear. Sisi ni mkurugenzi, boss, kiongozi. Nyie wanawake ndio mnaitana hata love, sijui mpenzi.
Mwanaume kaniita mimi dear, na sina mazoea nae. Imekaaje hiyo. Tena ni msg
 
Tunawaita dear wakurugenzi kwenye makampuni katika barua wewe unazungumzia zamani ipi ambayo hilo neno lilikuwa halina maana nzuri achana na dear za kina ZUCHU dear maana yake ni mpendwa katika mazingira mengine
Zamani ilikuwa kwenye barua tu. Nazungumzia enzi za nyerere
 
Mwanaume kaniita mimi dear, na sina mazoea nae. Imekaaje hiyo. Tena ni msg
Labda ni kuonyesha good gesture. Wanawake mnaitana vyovyote kimahaba mahaba. Mimi tu mwanaume akiniambie nimekumiss namkata jicho hilo kwa mshangao.
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Dogo anataka kukukula kuwa naye makini dear
 
Upumbavu wako wakutokwenda shule. Dear maana yake ni mpendwa kwa kiswahili
Kwenda shule hakumaanishi kudestory asili yetu wabantu, huyu mtoa mada namuelewa vizuri kuna namna unakuta mtu anakuita iwe kwa sauti au kwa msg aahhrr inakera hasa ukute wa jinsia yako dah inafikirisha....pamoja na masters yangu sijawahi kupenda kuitwa itwa ivo vimajina bila uhusiano wowote....na wewe punguza ulimbukeni ukahisi kusoma ndo kubleach uhalisia wa maisha ya mtz
 
Linatumika vbaya hasa kwa diff gender, viwanawake vidangaji ofsini ndio zao zinajifanya kama vnatania dear dear kumbe ndio vna express upatikanaji, ukifuatilia tabia zao udangaji mtupu , hakuna mwanamke anayejiheshimu goes qrround calling Men majina ya kimahaba
 
Back
Top Bottom