“Kitu kikubwa tulichojadiliana ni kuwa, Tanzania ni yetu sote na tunapaswa kufanya kazi pamoja, kuijenga, lakini hili linawezekana tu iwapo tutajenga uaminifu na kudai HAKI, pamoja na kuheshimiana”. Rais Samia Suluhu.
“Tumekubaliana kuwa, njia nzuri ya kuwa na maridhiano ni wakati kuna HAKI. Tumepitia madhila mengi, hakuna haja ya kuyarudisha mara kwa mara, badala yake tunapaswa kusonga mbele na kuwa na siasa safi na kuiunga mkono serikali”.- Freeman Mbowe.
“Mimi ndio mkuu wa jeshi la polisi leo nyie ni polisi kesho sio polisi lazima muwaheshimu watu na mtende HAKI kuna makosa mengine ya trafiki mweleweshe mtanzania mwenzako sio lazima kila kosa umuweke mahabusu”. - IGP Sirro.
“Kila mtu awe na HAKI ya kuchagua na kuchaguliwa na HAKI ya kutoa mawazo. Lazima wanachama wawe huru kutoa mawazo na hakuna mwenye hati miliki ya mawazo. Tukiweza kuimarisha HAKI ndani ya CCM tutakuwa tumeimarisha hadi nje kwenye maeneo mengine " Makamu Mwenyekiti mpya wa CCM (Bara), Abdulrahman Kinana.
“Tumekubaliana kuwa, njia nzuri ya kuwa na maridhiano ni wakati kuna HAKI. Tumepitia madhila mengi, hakuna haja ya kuyarudisha mara kwa mara, badala yake tunapaswa kusonga mbele na kuwa na siasa safi na kuiunga mkono serikali”.- Freeman Mbowe.
“Mimi ndio mkuu wa jeshi la polisi leo nyie ni polisi kesho sio polisi lazima muwaheshimu watu na mtende HAKI kuna makosa mengine ya trafiki mweleweshe mtanzania mwenzako sio lazima kila kosa umuweke mahabusu”. - IGP Sirro.
“Kila mtu awe na HAKI ya kuchagua na kuchaguliwa na HAKI ya kutoa mawazo. Lazima wanachama wawe huru kutoa mawazo na hakuna mwenye hati miliki ya mawazo. Tukiweza kuimarisha HAKI ndani ya CCM tutakuwa tumeimarisha hadi nje kwenye maeneo mengine " Makamu Mwenyekiti mpya wa CCM (Bara), Abdulrahman Kinana.