Neno HAKI limeanza kutawala midomoni mwa watawala, alianza Rais Samia, kafuata IGP na leo nimemsikia Kinana

Neno HAKI limeanza kutawala midomoni mwa watawala, alianza Rais Samia, kafuata IGP na leo nimemsikia Kinana

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
“Kitu kikubwa tulichojadiliana ni kuwa, Tanzania ni yetu sote na tunapaswa kufanya kazi pamoja, kuijenga, lakini hili linawezekana tu iwapo tutajenga uaminifu na kudai HAKI, pamoja na kuheshimiana”. Rais Samia Suluhu.

“Tumekubaliana kuwa, njia nzuri ya kuwa na maridhiano ni wakati kuna HAKI. Tumepitia madhila mengi, hakuna haja ya kuyarudisha mara kwa mara, badala yake tunapaswa kusonga mbele na kuwa na siasa safi na kuiunga mkono serikali”.- Freeman Mbowe.

“Mimi ndio mkuu wa jeshi la polisi leo nyie ni polisi kesho sio polisi lazima muwaheshimu watu na mtende HAKI kuna makosa mengine ya trafiki mweleweshe mtanzania mwenzako sio lazima kila kosa umuweke mahabusu”. - IGP Sirro.

“Kila mtu awe na HAKI ya kuchagua na kuchaguliwa na HAKI ya kutoa mawazo. Lazima wanachama wawe huru kutoa mawazo na hakuna mwenye hati miliki ya mawazo. Tukiweza kuimarisha HAKI ndani ya CCM tutakuwa tumeimarisha hadi nje kwenye maeneo mengine " Makamu Mwenyekiti mpya wa CCM (Bara), Abdulrahman Kinana.





 
Ni maigizo kama maigizo mengine
They don't mean what they say....

Msiwe wepesi kuamini yatokayo midomoni mwa watawala
Leo mnaamini maneno ya kinywa cha mtesi ciro 🙄
They simply are saying what people are eager to hear. When it comes to actions, it is completely opposite.

Wanajua kuwa kilio cha wengi ni haki maana uonevu umekithiri, hawana azma ya kubadilika bali wanaaminisha watu kuwa tupo kwenye hatamu nyingine ya 'haki'.

Kungekuwa na haki kweli, Raisi angeanza kwa kuacha kuhamasisha vitu kupanda bei, halafu mengine yafuate.
 
Haki ili iwe na maana muhimu iende kwenye vitendo, tusiridhishwe tu na kuishia midomoni, mfano watawala wajifunze kuheshimu maamuzi ya wengi kwenye sanduku la kura ndio nitaamini kweli haki inatekelezwa kwa vitendo.
 
Haki ili iwe na maana muhimu iende kwenye vitendo, tusiridhishwe tu na kuishia midomoni, mfano watawala wajifunze kuheshimu maamuzi ya wengi kwenye sanduku la kura ndio nitaamini kweli haki inatekelezwa kwa vitendo.
Huwezi kuipata Haki kwenye uchaguzi bwashee.

Pale inatakiwa sheria ndio itawale
 
“Kitu kikubwa tulichojadiliana ni kuwa, Tanzania ni yetu sote na tunapaswa kufanya kazi pamoja, kuijenga, lakini hili linawezekana tu iwapo tutajenga uaminifu na kudai HAKI, pamoja na kuheshimiana”. Rais Samia Suluhu.

“Tumekubaliana kuwa, njia nzuri ya kuwa na maridhiano ni wakati kuna HAKI. Tumepitia madhila mengi, hakuna haja ya kuyarudisha mara kwa mara, badala yake tunapaswa kusonga mbele na kuwa na siasa safi na kuiunga mkono serikali”.- Freeman Mbowe.

“Mimi ndio mkuu wa jeshi la polisi leo nyie ni polisi kesho sio polisi lazima muwaheshimu watu na mtende HAKI kuna makosa mengine ya trafiki mweleweshe mtanzania mwenzako sio lazima kila kosa umuweke mahabusu”. - IGP Sirro.

“Kila mtu awe na HAKI ya kuchagua na kuchaguliwa na HAKI ya kutoa mawazo. Lazima wanachama wawe huru kutoa mawazo na hakuna mwenye hati miliki ya mawazo. Tukiweza kuimarisha HAKI ndani ya CCM tutakuwa tumeimarisha hadi nje kwenye maeneo mengine " Makamu Mwenyekiti mpya wa CCM (Bara), Abdulrahman Kinana.




Vipi mfumuko wa bei?
 
Haki ili iwe na maana muhimu iende kwenye vitendo, tusiridhishwe tu na kuishia midomoni, mfano watawala wajifunze kuheshimu maamuzi ya wengi kwenye sanduku la kura ndio nitaamini kweli haki inatekelezwa kwa vitendo.
Lazima aseme haki maana tembo wataanza kupungua soon
 
They simply are saying what people are eager to hear. When it comes to actions, it is completely opposite.

Wanajua kuwa kilio cha wengi ni haki maana uonevu umekithiri, hawana azma ya kubadilika bali wanaaminisha watu kuwa tupo kwenye hatamu nyingine ya 'haki'.

Kungekuwa na haki kweli, Raisi angeanza kwa kuacha kuhamasisha vitu kupanda bei, halafu mengine yafuate.
Haki sababu yeye kila kitu anapata bure kupitia kodi zetu
 
Ni maigizo kama maigizo mengine
They don't mean what they say....

Msiwe wepesi kuamini yatokayo midomoni mwa watawala
Leo mnaamini maneno ya kinywa cha mtesi ciro [emoji849]
Mku huwa tunaamini kila neno litokalo ktk Kinywa na mawazo yanayotoka moyoni yamepata kibali kwani inaweza likawa tekelezo
 
Haki ni Nini?
Justice (Haki), in its broadest sense, is the principle that people receive that which they deserve, with the interpretation of what then constitutes "deserving" being impacted upon by numerous fields, with many differing viewpoints and perspectives, including the concepts of moral-correctness based on ethics, rationality, law, religion, equity and fairness.
 
Justice (Haki), in its broadest sense, is the principle that people receive that which they deserve, with the interpretation of what then constitutes "deserving" being impacted upon by numerous fields, with many differing viewpoints and perspectives, including the concepts of moral-correctness based on ethics, rationality, law, religion, equity and fairness.
Sawa.

Ila ndio ufahamu kuwa HAKI siyo Lazima ile inayokunufaisha au kukufurahisha wewe tu.
 
Back
Top Bottom