Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa wote mkuu, kwa wengine lipo valid check your settings 😂😁.Yaan ukiambiwa hivyo badala ya kujibu unaanza kupata wasiwasi.Sijui tatizo nini?
Baby nakupenda!
Baby mwenyewe 👇🏽
View attachment 2899305
Hahahahahaha....ndio maana wengine huwa tunacheka tuHuwezi kukubali ni kawaida kila mtu huwa anasema hawezi kusumbuliwa na mapenzi
wewe ni kama mimi! Hilo neno ni zito sana kwa mtu ambae humpendi.Mno, mi nikiambiwa na mtu ambae simuelewi huwa namjibu ila nafsi inanisuta.
na huu ndio ukweli.Huwezi kukubali ni kawaida kila mtu huwa anasema hawezi kusumbuliwa na mapenzi
Sawa sawa..umejibu vzr sana Mtani ..Mumy To yeye sijui unazungumzia mahusiano ya aina gani hapa?
Sisi wa kufa na kuzikana 😅 ambao tuna miaka nenda rudi tumeshajizowelea na huwa sioni kama akiandika hilo neno kuna kaunafiki ndani kwangu naamini anamaanisha.
Mno huwa nahisi anajua simaanishi but love is a beautiful thing hilo neno kuna mtu akiniambia naweza tabasamu siku nzima 😂wewe ni kama mimi! Hilo neno ni zito sana kwa mtu ambae humpendi.
Cha kupashia huwa mnakijua na tarehe zake pia halafu na wewe To Yeye leo umeamka na upendo 😂😂🤣🤣🤣upendo umepoa sikuhizi
Mzee mwenzangu upo happy mda wote!🤣Hahahahahahaha
Hahahahaha...inabidi kuwa makiniHuu ni mwezi wa kimkakati, nimekushtukia🤣
😂 naamNilishajisemea Mimi kuja kumpenda mtoto wa mtu Tena hapana😃😂.. Yeye akinipenda nitajibu nakupenda pia siku zinaenda😃
Hahahahahahaha..mimi sitaki stress ila kuna watu humu wanachekesha sana ..Mzee mwenzangu upo happy mda wote!🤣
Sometime hata asiposema wewe mwandikie tu "me too" uone mrejesho wake 😄Kwangu hilo ndilo neno ninalopenda kumwambia zaidi kaka mzuri wangu, siwezi kumtumia texts tatu bila kumwambia nampenda.
Same kwake, umegeuka utaratibu wetu na kiukweli ndilo neno napenda kusikia kutoka kwake.
Nyie wenzetu vipi? Asiponiambia ananipenda sina raha.
Sasa nifanyaje sio shughuli yangu, shughuli yangu ni kwa nnaempenda.🤣🤣🤣tunatenda dhambi sana hapa,unamjibu tu ili asijisikie vibaya
@To yeye Unasikia mambo hayo!Mno huwa nahisi anajua simaanishi but love is beautiful thing hilo neno kuna mtu akiniambia naweza tabasamu siku nzima
Naam na usinyimwe utelezi😂😂Ni kujibu tu ili siku zisonge.
Mhubiri 1:9-10🤣🤣🤣upendo umepoa sikuhizi