Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una nini lakiniItakuwa Ngeli ya Genge
Kiswahili hiki ni kazi sana.Chief, ni hivi ngeli ya YU - A - WA matumizi yake huwa na mbadala yaani isipotumika YU kwenye umoja basi itatumika A, lakini kwenye wingi ndio itatumika WA.
Mfano:
Mtoto yualishwa
Mwalimu yuafundisha
Mzee yuazeeka
Hii ngeli ya YU - A - WA ipo kilahaja zaidi na sio kiswahili sanifu kwani si katika hali ya kawaida kumkuta mtu anatumia neno yualishwa, yualia, yuafundisha au yuanakula badala ya kutumia analishwa, analia, anafundisha, anakula.
Kwa Tanzania baadhi ya maeneo ya mwambao pamoja na maeneo ya Visiwa vya Zanzibar, sana sana kisiwani Pemba ndio inatumika lahaja hiyo (lafudhi).
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Kiswahili hiki ni kazi sana.
Ni bora kiingereza, simple tu umeshaelewa.
Mi nina F kabisa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Nikiangalia hayo maeleozo ya Don Juan najiuliza B ya Kiswahili niliipataje pataje
Hahahaha haiwezekani mimi hata sikumbuki hizo ngeli ni nini mpaka mlipoanza kuzitaja yani kiswahili nilikua najionea mazigazi tu. Kwa kifupi nikijitathmini naona hakuna somo ambalo nilikua naliweza. Unga unga mwana mpaka tumetoboa basi[emoji1][emoji1][emoji1]Mi nina F kabisa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Hata hivyo hongera, mi nilichukua masomo ya Sayansi yakanipiga chini, ila sio mweupe kichwani. Kiswahili kilikuja kunipiga chenga kilipoanza mambo ya Vishazi, Virai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Hahahaha haiwezekani mimi hata sikumbuki hizo ngeli ni nini mpaka mlipoanza kuzitaja yani kiswahili nilikua najionea mazigazi tu. Kwa kifupi nikijitathmini naona hakuna somo ambalo nilikua naliweza. Unga unga mwana mpaka tumetoboa basi[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1]Hata hivyo hongera, mi nilichukua masomo ya Sayansi yakanipiga chini, ila sio mweupe kichwani. Kiswahili kilikuja kunipiga chenga kilipoanza mambo ya Vishazi, Virai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Unavijua vishazi na virai? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji1][emoji1]
Safi sana,nimekuelewa,umenirudisha darasaniNgeli ya PA - MU - KU.
PA - Hutumika kuonesha mahali maalumu(Panapodhihirika), mfano:
padogo, palipowazi au pamezibwa.
Ngeli ya KU - Hutumika kuonesha mahali fulani kwa jumla au eneo fulani (Pasipodhihirika au mbali), mfano:
Kule kunafaa
Ngeli ya MU - hutumika kuonesha mahali ndani ya kitu kingine kama vile ndani ya nyumba, shimo, mfano:
Ndani ya shimo mumejaa siafu
Ngeli za mahali hubaki vivyo hivyo katika umoja na wingi.
Hahahahahaha kishazi huru kishazi tegemezi, ila sikumbuki ndio wadudu gani hawa [emoji1][emoji1]Unavijua vishazi na virai? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
How many parts of speech are there? Mention them.Mimi ukiuliza swali la kiswahili nashindwa ila hilohilo swali ukiuliza kwa kingereza nafumua. Eg, ukiuliza aina za maneno hata sijui..ila uliza kwa english sasa.
Tunataka kuhamia somo la kingereza sasa hahahaHow many parts of speech are there? Mention them.
Sio mbaya tuje kwenye English napo.Tunataka kuhamia somo la kingereza sasa hahaha
Mimi kama nilivyosema awali masomo yote kwangu ni gusagusa band hahahahha ingawa niliifaulu vizuri tu. Na vile chuo sikusoma chochote vya shule ndio kabisa siwezi kuyakumbuka kabisaSio mbaya tuje kwenye English napo.
Ulimaliza mwaka gani?Mimi kama nilivyosema awali masomo yote kwangu ni gusagusa band hahahahha ingawa niliifaulu vizuri tu. Na vile chuo sikusoma chochote vya shule ndio kabisa siwezi kuyakumbuka kabisa
2008 o'level na high level 2011Ulimaliza mwaka gani?