Neno 'Samaki' lipo kwenye ngeli gani?

Neno 'Samaki' lipo kwenye ngeli gani?

Uko vizuri. Hata hivo wazee wa zamani mlipenda shule tofauti na sisi wa siku hizi. Ndio maana bado unakumbuka shule yako vizuri
Wewe! Mi sio mzee, ni kijana mwenzio [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Wewe! Mi sio mzee, ni kijana mwenzio [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Wanasemaga wazee wanapenda kuwaita vijana 'vijana' na kudemand shikamoo mpaka huyo kijana ni bint. Ukimwamkia shikamoo mzee atasemaa aah mi sio mzee[emoji1][emoji1]
 
Wanasemaga wazee wanapenda kuwaita vijana 'vijana' na kudemand shikamoo mpaka huyo kijana ni bint. Ukimwamkia shikamoo mzee atasemaa aah mi sio mzee[emoji1][emoji1]
Hao ni wazee! Ila mimi bado ni kijana, tena below 40. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Hao ni wazee! Ila mimi bado ni kijana, tena below 40. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Ujana mwisho 35[emoji1787][emoji1787]
 
Kati ya vitu ambavyo sikuwahi kuvielewa kabisa Hadi leo ni hiyo Ngeli, Kama ingelikuwa Multiple choice afu akaweka machaguo kuwa samaki ipo Ngeli ipi akaweka na moja ya chaguo et Ngeli ya majini ningechagua Hilo jibu!!
 
Kati ya vitu ambavyo sikuwahi kuvielewa kabisa Hadi leo ni hiyo Ngeli, Kama ingelikuwa Multiple choice afu akaweka machaguo kuwa samaki ipo Ngeli ipi akaweka na moja ya chaguo et Ngeli ya majini ningechagua Hilo jibu!!
[emoji3][emoji3]
 
Unavijua vishazi na virai? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Tukumbushe mkuu,Vishazi na virai
 
Tukumbushe mkuu,Vishazi na virai
Mi nilikuwa nikisikia Vishazi tu napotea class!!
Ndugu Kiswahili kigumu utaanza na Kishazi... mara Kirai...mwisho utataka tuje kwenye Kiima na Kiarifu...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Mi nilikuwa nikisikia Vishazi tu napotea class!!
Ndugu Kiswahili kigumu utaanza na Kishazi... mara Kirai...mwisho utataka tuje kwenye Kiima na Kiarifu...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji23][emoji23][emoji23],kweli hata kiima na kiarifu nimeshasahau itabidi tuanzishe Uzi wa kuulizia hivi vitu aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23],itabidi tuanzishe Uzi wa kuulizia hivi vitu aisee
Kishazi ni tungo inayotawaliwa na kitenzi. Kitenzi hicho kinaweza kuwa kinajitosheleza kimaana au kisijitoesheleze kimaana vilevile.

Kirai ni kipashio kidogo cha kimuundo chenye neno moja au zaidi ambacho hakina muundo wa kiima (K) na kiarifu(A). Kirai huwa na neno kuu moja kinalotawala.
 
Kishazi ni tungo inayotawaliwa na kitenzi. Kitenzi hicho kinaweza kuwa kinajitosheleza kimaana au kisijitoesheleze kimaana vilevile.

Kirai ni kipashio kidogo cha kimuundo chenye neno moja au zaidi ambacho hakina muundo wa kiima (K) na kiarifu(A). Kirai huwa na neno kuu moja kinalotawala.
Ha haa hapa ungetoa na mfano kidogo tuelewe
 
Kati ya vitu ambavyo sikuwahi kuvielewa kabisa Hadi leo ni hiyo Ngeli, Kama ingelikuwa Multiple choice afu akaweka machaguo kuwa samaki ipo Ngeli ipi akaweka na moja ya chaguo et Ngeli ya majini ningechagua Hilo jibu!!
Tukumbushe mkuu,Vishazi na virai
Mi nilikuwa nikisikia Vishazi tu napotea class!!
Ndugu Kiswahili kigumu utaanza na Kishazi... mara Kirai...mwisho utataka tuje kwenye Kiima na Kiarifu...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Kishazi ni tungo inayotawaliwa na kitenzi. Kitenzi hicho kinaweza kuwa kinajitosheleza kimaana au kisijitoesheleze kimaana vilevile.

Kirai ni kipashio kidogo cha kimuundo chenye neno moja au zaidi ambacho hakina muundo wa kiima (K) na kiarifu(A). Kirai huwa na neno kuu moja kinalotawala.
Mkimaliza kukumbushana virai na vishazi, mnitag niwafundishe "Ujumi mweusi"
[emoji2212]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom