Netanyahu aiambia UN hakunaga wa kulitishia Nyau Israel hapa Duniani, Waarabu watoka ukumbini kabla ya Hotuba!

Netanyahu aiambia UN hakunaga wa kulitishia Nyau Israel hapa Duniani, Waarabu watoka ukumbini kabla ya Hotuba!

Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini

Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha

Credit: Al Jazeera news

Baadae Mlale unono 😃🌹
Waarabu wapuuzi kweli. Walikwenda kusikiliza kwa kina kile kilichosemwa na Natanyau wakiwa nje ya ukumbi. Mwili upo nje akili zipo ndani
 
Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini

Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha

Credit: Al Jazeera news

Baadae Mlale unono 😃🌹
Taifa teule,
 
Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini

Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha

Credit: Al Jazeera news

Baadae Mlale unono 😃🌹
Waarabu hawana akili. Wangekaa na kumsikiliza ili wajue jinsi ya kujipanga na atakayosema.
Sasa waarabu Ni Kama mjinga mmoja aliyeko mafichoni, hamuoni adui anachoongea.
Siku zote hakikisha unajua adui yako anaongea nini!?
 
Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini

Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha

Credit: Al Jazeera news

Baadae Mlale unono 😃🌹
Uliiwaona wakitoka ni Waarsbu tu? Waarabu wa nvhi ipi hao walio zaidi ya robo tatu ya ukumbi wa UN?

Nyau alihutubia maruhani.
 
Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini

Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha

Credit: Al Jazeera news

Baadae Mlale unono 😃🌹
Leo Netanyahoo kajificha kwenye mapango anajinyea TU kumbe yupo uchi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom