Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Nikiwa na maana ya kwamba its very possible kwa jiko kuwa na hizo dimensions.Ajabu ipo. Linakaaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa na maana ya kwamba its very possible kwa jiko kuwa na hizo dimensions.Ajabu ipo. Linakaaje hapo?
Hilo sasa siyo jiko kwa aina ya nyumba tulizoziona hukoNikiwa na maana ya kwamba its very possible kwa jiko kuwa na hizo dimensions.
Dogo sana au kubwa sana.Hilo sasa siyo jiko kwa aina ya nyumba tulizoziona huko
DogoDogo sana au kubwa sana.
Anaondolewaje kwa mfano?Israel itashinda hii vita labda itokee Netanyahu aondolewe katika Boksi la Kura.
Waarabu wapuuzi kweli. Walikwenda kusikiliza kwa kina kile kilichosemwa na Natanyau wakiwa nje ya ukumbi. Mwili upo nje akili zipo ndaniAlipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹
Taifa teule,Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹
Waarabu hawana akili. Wangekaa na kumsikiliza ili wajue jinsi ya kujipanga na atakayosema.Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹
Uliiwaona wakitoka ni Waarsbu tu? Waarabu wa nvhi ipi hao walio zaidi ya robo tatu ya ukumbi wa UN?Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹
Leo Netanyahoo kajificha kwenye mapango anajinyea TU kumbe yupo uchi🤣🤣🤣🤣🤣Alipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹