Kwani watu wote walio upande wa Sarah mke wa Abraham,ardhi yao waliorithishwa ni Israel tu!!?Tatizo la Abraham, hakuacha utaratibu wa urithi wa mtoto wa mchepuko wake wa Ki-Misri, ambaye ni Ishmael (Baba wa Waarabu)
Bosi hata mimi ninayeamini nikitamka kwa imani Jina la Yesu Kristo Majini yanaungua moto. Hata wewe siku ukiamini unaweza toa pepo. Uwezo huo tumepewa wote ila unapaswa kuamini tu, na siyo kazi ya manabii au wachungaji tu😂😂😂😂😂ko wewe ukiona vile wachungaji wa mchongo wanaombea mtu wanamshika kichwa af anaanguka ndo unaamini jina la kristo linamuunguza jini🤣🤣 mtaendelea kuwatajirisha hadi akili ziwakae sawa
Ameamua kuhutubia kwa English ili ujumbe uwafikie walengwa!Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.
Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.
View attachment 3058477
Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Ni wangapi wasiomtaka?Hamna chochote cha maana alichoongea kwa mtu mwenye akili ndio maana hata huko israel hawamtaki tena ,amekuwa liability kwa israel
Tena Daudi alinusurika kupinduliwa na mtoto wake wa kumzaa.Yaani Unashangaa Netanyau kukataliwa, Alikataliwa Mfalme Daudi(King David) hadi kugawanyika kwa Kaskazini na kusini ije kuwa Netanyau
Netanyahu silaha yake ya kubaki madarakani ni kuendelea na vita ili kukwepa uchaguzi na kesi yake ya rushwa, baadhi ya mawaziri wake muhimu kama gantz na gallant wameonyesha kupingana nae hadharani na huku gantz akijiuzuluNi wangapi wasiomtaka?
Hata Tanzania, si wote wanamtakia Samia lakini bado ameendelea kuwa Rais wa Tanzania.
Waithiopia sio wayahudi kwa sababu ya dini Bali ni damu kutoka kwa Mnyahudi Babu yao mfalme Suleiman aliyepelekewa penzi na bibi Yao Malkia wa shebaHuo ndiyo ujinga wa kizungu kuwaita waarabu waislam, uyahudi ni Imani siyo taifa,Kuna wayahudi wengi Ethiopia
Upendo ulioje😄Hawamtaki vipi wakati mpaka wasaudi wanampa alkasus
View: https://x.com/Osint613/status/1818954587186909187?t=c_uOKAqssLa15cbld6dkzw&s=19
Mwambie aache upuuziAnasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.
Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.
View attachment 3058477
Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Na tokea zamani hakuna Taifa lililotunishiana misuli na Israel likafanikiwa.Kutafuta mafarakano na Israel ni kujitafutia balaa, msiwaone marekani na mataifa mengine ni wajinga kutoishutumu Israel moja kwa moja.......tangu zamani mataifa yalikuwa yanatafuta kufanya mapatano na Israel ili yaweze kustawi.
Crazy mother fanta,Kuna waethiopia wayahudi na wasio wayahudi,Kuna waethiopia waislam na wakiristoWaithiopia sio wayahudi kwa sababu ya dini Bali ni damu kutoka kwa Mnyahudi Babu yao mfalme Suleiman aliyepelekewa penzi na bibi Yao Malkia wa sheba
Kumbuka uyahudi is both Kabila and dini. Kwenye kabila wanaumgamishwa na damu wether ni Mkristu au muislamCrazy mother fanta,Kuna waethiopia wayahudi na wasio wayahudi,Kuna waethiopia waislam na wakiristo
Wao na mungu wao ni majuhaAnasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.
Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.
View attachment 3058477
Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Mungu ibariki IsraelMungu ibariki Dunia yetu
Ishmael ndio baba wa mataifa mengi ya kiarabuIshmael alikuwa muarabu?
Si kweli,wanataka kufanya uyahudi ni kabila wakati ni dini,wanajichanganya wao na kukuchanganya weweKumbuka uyahudi is both Kabila and dini. Kwenye kabila wanaumgamishwa na damu wether ni Mkristu au muislam
Unaweza kuthibitisha hili mkuu?....kwani baba yake Ishmael yaani Ibrahim alikuwa Muarabu pia?....Ishmael ndio baba wa mataifa mengi ya kiarabu
Na ndio ile ile,Israel iliyomsulubu,na kumuua Yesu,na kumuita mtoto wa nje ya ndoa.Hawa ni wa kuzimu tu,hawatauona ufalme wa mbinguni.Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.
Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.
View attachment 3058477
Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.