Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Usicho kijia ni kwamba Isaac alikuwa na watoto wawili Jacobo na EsauNa mimi naungana nao kwamba ni yao kabisa.
Jacob amezaa waisrael
Esau amezaa waparestina
Kinachokusumbueni ni udini tu Kwa sababu waparestina ni waislam