inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Huwa huelewi,na kukomalia kile ulichosema licha ya ushadidi wa hoja iliyotolewa,ni symptom ya mental healthSawa,
Usiulize maswali ya kisangoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa huelewi,na kukomalia kile ulichosema licha ya ushadidi wa hoja iliyotolewa,ni symptom ya mental healthSawa,
Usiulize maswali ya kisangoma
Huwa huelewi,na kukomalia kile ulichosema licha ya ushadidi wa hoja iliyotolewa,ni symptom ya mental health
Mimi sihitaji kugugo,najua uyahudi ni dini,ndiyo maana Israel wanataka wazuwie watu wengine kuwa wayahudi iwe kwa waisrael tuWeiterleitungshinweis
www.google.com
Ingia Google waulize Uyahudi ni Dini au utaifa?
Alafu utakuja kuona Mimi na wéwe Nani mbishi
Na mimi nasema hapo ni paoHivi kwa nini hujiulizi hawa kina netanyahu kwa nini wastake kuishi miji yenye maraha kama Paris,Zurich,London new york why wakimbilie hapo jagwani mie nasema hapo ni kwao na huo ndo uzao wa Ibrahim Jacob na isaka period.
"Judaism - Wikipedia" Judaism - WikipediaWeiterleitungshinweis
www.google.com
Ingia Google waulize Uyahudi ni Dini au utaifa?
Alafu utakuja kuona Mimi na wéwe Nani mbishi
Mimi sihitaji kugugo,najua uyahudi ni dini,ndiyo maana Israel wanataka wazuwie watu wengine kuwa wayahudi iwe kwa waisrael tu
"Judaism - Wikipedia" Judaism - Wikipedia
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wewe hupendi kuwahishwa ukale bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe mdau?Punguza Kunywa Matap tap
Pole sana mdauToo low
netanyahu ana akili nyingi sana. anaijua sana Biblia, na ukiona anaquote hiyo mistari na historia ujue anaomba support toka kwa wakristo na mataifa yote ya wakristo. hata kule kwenye christians united for Israel yupo sana. shida inakuja, wao sio wakristo, na wanawachukia wakristo sawa tu na wanavyowachukia wapagani. isipokuwa, kwetu sisi warksto, tumeelekezwa na Mungu kuwapenda na kuwasaidia, hivyo sisi huwa tunamtii Mungu isingekuwa hivyo hao jamaa wangekuwa maadui wetu wakubwa sana.
kuna desturi yao moja hivi ya kutemea mtu anayeamini imani nyingine, ilianza zamani na ilikuwepo hata kipindi cha Yesu, walimtemea Yesu Mate, hiyo ni desturi wanaifanya hadi leo na kwa imani yao wanaamini wakifanya hivyo wamedhihirisha kuukataa kabisa upagani au kuabudu kitu kingine hivyo Mungu atawabariki. hadi leo wakikutana na mkristo huwa wanamtemea mate, kama desturi.
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombeKweli we ni kiboko😆😆😆😆😆🤦
Mkuu vp unasemaje kuhusu magaid yote kuwahishwa jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe ndugu mdauMimi sihitaji kugugo,najua uyahudi ni dini,ndiyo maana Israel wanataka wazuwie watu wengine kuwa wayahudi iwe kwa waisrael tu
Wataenda kunywa divai na yesuMkuu vp unasemaje kuhusu magaid yote kuwahishwa jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe ndugu mdau
Toa neno
Hii ndo hotuba sasa. Yaani unafeel kabisa kwamba unamsikiliza Mkuu wa Nchi. Achana na hotuba za Mama Abdul.Anasema, Ardhi hii ilikuwa yetu na Milele Daima, itakuwa yetu !!.
Salaam alaikum, Kichapo kitaendelea tu, hamna namna !!.
View attachment 3058477
Israel ni Uthibitisho na Kielelezo cha kuwa MUNGU YUPO NA NDIO ALIYEUMBA DUNIA.
Mbona mna mtusi Abraham kuwa alikua na mchepuko? Abraham anatambulika ndiye baba wa imani, iweje baba wa imani azini?Tatizo la Abraham, hakuacha utaratibu wa urithi wa mtoto wa mchepuko wake wa Ki-Misri, ambaye ni Ishmael (Baba wa Waarabu)
Walitokea wapi hao watu mpaka kufika nchi hizo?Ukraine,ujeruman, ufaransa, uingereza nk
Ww usituchanganye Mungu wa akina ibrahim hakuitwa alah ww unafosi tu Alah ni Mungu wa waarabu lini Yakobo akawa na Mungu anaitwa Alah😎Kuwatukana Mitume wa Allah ni jambo la kawaida kwenu nyinyi pamoja na ndugu zenu waliolaaniwa mayahudi. Ibrahim (Amani iwe juu yake) hakuwa mzinifu. Mna midomo michafu mno mnapowazungumza Mitume wa Allah.
Allah awahishe kuangamia kwa ndugu zenu. Watu wa kutanga tanga na kuhangaika kwa sababu ya laana yao. Hawakai sehemu ila wataleta balaa kwa waliowakaribisha na kuwahifadhi.
Huyu Ni muislamu Lia lia hawezi kukuelewaUnachojua kipô limited, jifunze zaidi utagundua uyahudi upo zaidi ya hivyo unachojua.
Israel Ipo Sheria ya Mtu kubadilishwa kuwa Myahudi kidini
DR Mambo Jambo embu msaidie huyu ndugu