Netanyahu Awaonya Hezbollah Ataibadili Beirut Kuwa Gaza Kama Wakianzisha Vita Nyingine Dhidi Ya Israeli

Netanyahu Awaonya Hezbollah Ataibadili Beirut Kuwa Gaza Kama Wakianzisha Vita Nyingine Dhidi Ya Israeli

Hana lolote huyo Safari hi Hezbullah atangusha majumba yote ya Tela Aviv yale marefu hizo ni kele za mbwa koko, Hamasi sialijidai atawamaliza kawamaliza, kuvunja majumba kwani yeye majumba yake hayajavunjwa na Hamasi.

Hezbullah ni more powerful kuliko Hamasi mara 20 alisema hivyo hivyo yeye na US watao ingia kwenye vita US atawapiga Yemen kapiga mpaa meli ya kivita ya US wamarekani kimya, Hezbullah anapiga Israel wamarekani kimyaa na Israel anapiga kwa kutumia mizinga tu anafahamu wazi akicross redline Hezbullah wanaimaliza Haifa na Tela Aviv safari hi 👋
Mpaka sasa hivi wapiganaji zaidi ya 70 wa hezbuller na raia 6 wameuawa na Israel, huku wanajeshi 6 tuu wa Israel nao wakiwa wameuawa.
Fanya uwiano sasa hapo!
 
BREAKING | Israeli media: 40 injured Israeli soldiers were transferred from the Gaza Strip to Soroka Hospital in southern Palestine in the past 24 hours alone.
 
Huyu waziri anashida sana , anajiona mtu mwenye akili na majinguvu , nakuhakikishia Israeli, kuna watu wanamwinda tu aendele kudhoofika , ndo watu waingie huko kwao , siku zaja kuna siku telavith itapokea bom ndo atujua kuwa hajui

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huyu waziri anashida sana , anajiona mtu mwenye akili na majinguvu , nakuhakikishia Israeli, kuna watu wanamwinda tu aendele kudhoofika , ndo watu waingie huko kwao , siku zaja kuna siku telavith itapokea bom ndo atujua kuwa hajui

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe unajua Zaidi ya Netanyahu?
 
Huwa mnaanza kusema hivi.Likianzishwa mnadai"Mnadai haki za ,wanauwawa raia,wanawake na watoto ",Hizo F-16 kila siku zinamchapa baba yake na Hezbollah; Syria na hafanyi lolote.Kuna siku ndege ya iran iliyobeba wanajeshi ilirudi ilipotoka baada ya uwanja wa ndege kushambuliwa!kani
Israel inajua madhara ya kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Hizbulla na ndio maana anakwepa kuingia moja kwa moja kwenye vita na kundi hilo licha ya mapigano ya mara kwa mara ya mpakani.
 
Kwa mtazamo wako kunaoption ngapi za kukomboa mateka?, Lengo kuu la Israel lilikuwa kukomboa mateka au kuwafyeka magaidi ya Hamas?
 
Kwa mtazamo wako kunaoption ngapi za kukomboa mateka?, Lengo kuu la Israel lilikuwa kukomboa mateka au kuwafyeka magaidi ya Hamas?
Vyote kakosa hamna Hamas ambao wamewakata au kuwaua labda Hamas ni wale watoto wanaopigwa mabomu.
 
Huyu waziri anashida sana , anajiona mtu mwenye akili na majinguvu , nakuhakikishia Israeli, kuna watu wanamwinda tu aendele kudhoofika , ndo watu waingie huko kwao , siku zaja kuna siku telavith itapokea bom ndo atujua kuwa hajui

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Upo middle East au?
 
Miaka buku hawezi ingia front na hawa wahuni ..kama mgambo hamas ana kupiga missiles buku kwa saa hadi irone dom ina baki kushangaa
 
Walisema israeli inasubiriwa na Hamas kupeleka vikosi vya ardhini Gaza.
Bendera ya Israeli katikati ya Gaza!
The "Palestine Square" in Gaza with the flag of Israel! 🇮🇱
FB_IMG_1702072575382.jpg
 
Hana lolote huyo Safari hi Hezbullah atangusha majumba yote ya Tela Aviv yale marefu hizo ni kele za mbwa koko, Hamasi sialijidai atawamaliza kawamaliza, kuvunja majumba kwani yeye majumba yake hayajavunjwa na Hamasi.

Hezbullah ni more powerful kuliko Hamasi mara 20 alisema hivyo hivyo yeye na US watao ingia kwenye vita US atawapiga Yemen kapiga mpaa meli ya kivita ya US wamarekani kimya, Hezbullah anapiga Israel wamarekani kimyaa na Israel anapiga kwa kutumia mizinga tu anafahamu wazi akicross redline Hezbullah wanaimaliza Haifa na Tela Aviv safari hi 👋
Tunaongea ujinga na utoto sana.
Hao Hezbollah kama wangekuwa na huo uwezo basi wangeingiza vikosi vyao Gaza ili kuisaidia Hamas.

Tuache utani, nguvu ya kivita ya Izrael hapo mashariki ya kati huwezi ilinganisha na taifa lolote lile.
 
Israel inatupigania dunia nzima wakimalizana na Gaza wanachagua waingie Syria au Lebanon
 
Walisema israeli inasubiriwa na Hamas kupeleka vikosi vya ardhini Gaza.
Bendera ya Israeli katikati ya Gaza!
The "Palestine Square" in Gaza with the flag of Israel! 🇮🇱View attachment 2837079
Vipi na mateka au hawapo Gaza na ule mpango wa kumwaga maji kwenye mahandaki vipi? Hamas wanasubiri kwa hamu wapate japo maji ya kuonga na kufuria nguo.
 
Hahaha... Mzee Netanyahu hii vita itampa mental disorder. Amesahau mziki wa Hezbollah asije tu kujichanganya It might be the end!!
 
Huwa mnaanza kusema hivi.Likianzishwa mnadai"Mnadai haki za binadamu,wanauwawa raia,wanawake na watoto ",Hizo F-16 kila siku zinamchapa baba yake na Hezbollah; Syria na hafanyi lolote.Kuna siku ndege ya iran iliyobeba wanajeshi ilirudi ilipotoka baada ya uwanja wa ndege kushambuliwa!
Hali ni mbaya kutoka uwanja wa vita Israel inahaha namna ya kusimamisha vita Hamas wamekua wakali sana tangu juzi.
 
Hali ni mbaya kutoka uwanja wa vita Israel inahaha namna ya kusimamisha vita Hamas wamekua wakali sana tangu juzi.
Atashambulia na ndege mpk target zitaisha km walivyofanyiwa na hezbollah 2006 waliachwa wiki nzima wanashambulia mwisho ndege zikawa hazina pakushambulia target zote zishapigwa ndio wanashangaa hezbollah wanaanza kushambulia
 
Back
Top Bottom