Mpaka sasa hivi wapiganaji zaidi ya 70 wa hezbuller na raia 6 wameuawa na Israel, huku wanajeshi 6 tuu wa Israel nao wakiwa wameuawa.Hana lolote huyo Safari hi Hezbullah atangusha majumba yote ya Tela Aviv yale marefu hizo ni kele za mbwa koko, Hamasi sialijidai atawamaliza kawamaliza, kuvunja majumba kwani yeye majumba yake hayajavunjwa na Hamasi.
Hezbullah ni more powerful kuliko Hamasi mara 20 alisema hivyo hivyo yeye na US watao ingia kwenye vita US atawapiga Yemen kapiga mpaa meli ya kivita ya US wamarekani kimya, Hezbullah anapiga Israel wamarekani kimyaa na Israel anapiga kwa kutumia mizinga tu anafahamu wazi akicross redline Hezbullah wanaimaliza Haifa na Tela Aviv safari hi 👋
Fanya uwiano sasa hapo!