Yemen nchi ya kimasikini na primitive kuliko waarabu wote,ilikulaga kichapo Cha mda mfupi na Eritrea miaka ya nyuma.inatafuta pa kujifia
View: https://youtu.be/BTHqoT8ROLk?si=seMnxKeBeoJUAmad
YEMEN karipua bandari ya Haifa kwa 16 Missiles, Israel hawezi kurudisha mapigo wala Mirungi watamcharaza mpaa aone mwezi umebadilka rangi umekuwa mwekundu 😄
Dua la kuku Hilo. Israel sio Netanyauh tu. Akiondoka yeye watakuja wengine "wabaya" zaidi yake.Huyu waziri anashida sana , anajiona mtu mwenye akili na majinguvu , nakuhakikishia Israeli, kuna watu wanamwinda tu aendele kudhoofika , ndo watu waingie huko kwao , siku zaja kuna siku telavith itapokea bom ndo atujua kuwa hajui
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
We unadhani Israel ni matajiri? Yemen umasikini wake ni wapi? Uliwahi fika Yemen ukawaona wanavyo ishi, hata America wako masikini kuliko wa mbagala mbona mnawaita matajiri 😄Yemen nchi ya kimasikini na primitive kuliko waarabu wote,ilikulaga kichapo Cha mda mfupi na Eritrea miaka ya nyuma.inatafuta pa kujifia
Israel wanamakombora ya Nyuklia, and they can make tactical one any time... Israel Can reach anywhere in middle east and have list of all targets in Middle East, including Suadia na IranHezbollah ina makomboa 100000, Tel Aviv itaweza kuyahimili?
Israel wanamakombora ya Nyuklia, and they can make tactical one any time... Israel Can reach anywhere in middle east and have list of all targets in Middle East, including Suadia na Iran
Yaan ni wajinga mnoNgoja wavaa vipedo waje hapa warushe mateke ya farasi anayejifia, then nitarudi kusoma mapovu yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba mzee Neta huwaga hafichi kitakachowapata endapo watathubutu kuliamsha.Yaan ni wajinga mno
Unadhani kupiga nuclear ni rahisi?.Israel kuliko ashindwe anaweza kupiga Nyuklia moja kwenye Kambi ya Hezbollah Biashara iishe
Israel safari atachakazwa mpa atajuta kuwa tools wa US pale Middle East, kama anavyo juta Ukraine sa iviHezbollah wataiponza Lebanon bure wakae Kwa kutulia
Hezbullah akipiga chemical factories ziliopo pale Haifa hio ni zaidi ya NuclearIsrael kuliko ashindwe anaweza kupiga Nyuklia moja kwenye Kambi ya Hezbollah Biashara iishe