Netanyahu: Hamas wana machaguo mawili tu kujisalimisha au kufa, aapa kuendea na vita mpaka Hamas wafutike

Netanyahu: Hamas wana machaguo mawili tu kujisalimisha au kufa, aapa kuendea na vita mpaka Hamas wafutike

Akiongea na waandishi wa habari,Netanyahu amesisitiza kuwa mpaka malengo waliyojiwekea yakamilike ambayo moja wapo ni kutokomeza kundi la hamas,netanyahu ameongeza kuwa hamas wanapelekewa moto wa jehanamu na pia wanaowasaidia.
============================
Israel will continue its war against Hamas until the group is "eliminated", Benjamin Netanyahu has said in the face of growing international criticism of the IDF's military operation in Gaza.

Speaking to reporters, the Israeli prime minister said: "We continue the war until the end. It will continue until Hamas is eliminated - until victory.

"We will not stop fighting until we achieve all of the goals we have set: the elimination of Hamas, the release of our hostages and the removal of the threat from Gaza.

"We are attacking Hamas with infernal fire.

"Everywhere, including today. We also attack their assistants from near and far. All Hamas terrorists, from the first to the last, are dead men. They have only two options: surrender or die."

Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg
 
Akiongea na waandishi wa habari,Netanyahu amesisitiza kuwa mpaka malengo waliyojiwekea yakamilike ambayo moja wapo ni kutokomeza kundi la hamas,netanyahu ameongeza kuwa hamas wanapelekewa moto wa jehanamu na pia wanaowasaidia.
============================
Israel will continue its war against Hamas until the group is "eliminated", Benjamin Netanyahu has said in the face of growing international criticism of the IDF's military operation in Gaza.

Speaking to reporters, the Israeli prime minister said: "We continue the war until the end. It will continue until Hamas is eliminated - until victory.

"We will not stop fighting until we achieve all of the goals we have set: the elimination of Hamas, the release of our hostages and the removal of the threat from Gaza.

"We are attacking Hamas with infernal fire.

"Everywhere, including today. We also attack their assistants from near and far. All Hamas terrorists, from the first to the last, are dead men. They have only two options: surrender or die."

Screenshot_20231110-005706.jpg
 
Israel ilikuwa inakuzwa sn yaani gaza km mkoa mmoja tu wa tanzania anahangaika nayo mwezi wa tatu unaenda huu na huku anapewa misaada na usa,france,uk na germany na hakuna lengo hata moja lililotimia labda km malengo yalikuwa kuua watoto lakini hajakomboa mateka hata mmoja.
Baaaaado hamjasema yaaan mpaka msemeee.

Kwani mlipoipiga october 7 mlikubaliana kwamba majibu iwe mwisho lini!!!?😂😂😂😂😂

😂😂😂😂😂 weee IDF mmepigaje pigaje hapoooo😂😂😂
 
Israel ilikuwa inakuzwa sn yaani gaza km mkoa mmoja tu wa tanzania anahangaika nayo mwezi wa tatu unaenda huu na huku anapewa misaada na usa,france,uk na germany na hakuna lengo hata moja lililotimia labda km malengo yalikuwa kuua watoto lakini hajakomboa mateka hata mmoja.
Mbona urusi imeshindwa kuichukua burkemud Kwa Zaid ya miaka 2!? Magaidi mtakona
 
Hao Hamas walivyomuua huyu kijana au niseme vijana wa ki Tanzania wamempiga risasi wamemkata mapanga huku wamemkanyagq shingoni,

Wateketezwe, wafutike juu ya nchi.

I'm sorry ni maumivu makubwa.
 
Akiongea na waandishi wa habari,Netanyahu amesisitiza kuwa mpaka malengo waliyojiwekea yakamilike ambayo moja wapo ni kutokomeza kundi la hamas,netanyahu ameongeza kuwa hamas wanapelekewa moto wa jehanamu na pia wanaowasaidia.
============================
Israel will continue its war against Hamas until the group is "eliminated", Benjamin Netanyahu has said in the face of growing international criticism of the IDF's military operation in Gaza.

Speaking to reporters, the Israeli prime minister said: "We continue the war until the end. It will continue until Hamas is eliminated - until victory.

"We will not stop fighting until we achieve all of the goals we have set: the elimination of Hamas, the release of our hostages and the removal of the threat from Gaza.

"We are attacking Hamas with infernal fire.

"Everywhere, including today. We also attack their assistants from near and far. All Hamas terrorists, from the first to the last, are dead men. They have only two options: surrender or die."

Hana lolote porojo tu vita venyewe vimeshamshinda anabaki anabwatabwata tu na kuua hadi wamama kanisani
 
Kanuse pua uone, Israel sijui iko overated or underrated haviwezi kuwasadia wapalestina na hamas , magaidi yamezoea kuchoma visu watu huko Ulaya wazungu wanawachekea kwa democracy yao na huruma yao, Israel ni hatari, baada ya miezi 6 hautasikia tena hamasi
Nakupa miezi sita ya ziada
Baada ya mwaka mmoja hautasikia israhell kua imeifuta hamas
Hilo musahau
 
Kumbuka anatumia sehemu ndogo mno ya jeshi lake anajua muda wowote waarabu waliomzunguka wanaweza ku retaliate at once kama walivyofanya yom kippur war hivyo ana reserve kubwa sana ya ammunitions reservists hard ware na soft ware za kutosha kuwapiga waarabu wote at once in case wakaliamsha kwahiyo usidhani hiyo ya Gaza ni full scale mobilization.
Israhell imetangaza rasmi kua ipo vitani na hamas
Yaani kaishindwa hamas licha yakupata msaada kwa mashoga zake wote wa ulaya nakwengineko
Waarabu wampige israhell wanini wakati hamas wanatosha
Kama ana resev kubwa angemalizana na hamas Kwanza wanao ufanya uchumi wa mazayuni uchechemee na watu wake kuishi kwa amani sio kuhamishwa hamishwa
 
Israel ilikuwa inakuzwa sn yaani gaza km mkoa mmoja tu wa tanzania anahangaika nayo mwezi wa tatu unaenda huu na huku anapewa misaada na usa,france,uk na germany na hakuna lengo hata moja lililotimia labda km malengo yalikuwa kuua watoto lakini hajakomboa mateka hata mmoja.
Siyo mkoa Gaza ni kama Kigamboni Netanyahu, kachanganyikiwa mpaka sasa hivi hawajafikia malengo ya vita dunia yote inaoa Hamas wapo Gaza na wameshikilia mateka wao kazi ilibaki kwao ni kuuwa watoto na kuharibu miondombinu, juzi alienda kusalimia wanajeshi majeruhi hospitali wengine wakakataa hata kungea naye😂
 
Humo Hamas wanajifichia wanawafanya ngao wanachi
Wewe punguani kweli hizi propaganda za kishoga unamueleza nani labda mapunguni wenzako ndiyo wanaweza kukuelewa Magaidi wa Israel wanashambulia kambi za wakimbizi Hamas hapo wanahusika vipi? Kwa hiyo unataka kutuambia Hamas wananchi kama ngao akimuweke mbele kombora likitua linauwa mwananchi linamuacha Hamas? Akili yako imejaa mavi
 
Israel ilikuwa inakuzwa sn yaani gaza km mkoa mmoja tu wa tanzania anahangaika nayo mwezi wa tatu unaenda huu na huku anapewa misaada na usa,france,uk na germany na hakuna lengo hata moja lililotimia labda km malengo yalikuwa kuua watoto lakini hajakomboa mateka hata mmoja.
Kwa hiyo ingekuwa jeshi la nchi gani lingepeleka wanajeshi wako kwenye yale mashimo wakaangamie? Na huko mtaani Gaza Hamas wanapgana huku wamevaa kiraia( civilian). Ingekuwa ni combat war na Hamas wangekuwa na military base zakuonekana unazani wengekuwepo mpaka sasa?
 
Kumbuka anatumia sehemu ndogo mno ya jeshi lake anajua muda wowote waarabu waliomzunguka wanaweza ku retaliate at once kama walivyofanya yom kippur war hivyo ana reserve kubwa sana ya ammunitions reservists hard ware na soft ware za kutosha kuwapiga waarabu wote at once in case wakaliamsha kwahiyo usidhani hiyo ya Gaza ni full scale mobilization.
Ni Maoni Binafsi,au Ni Mmoja kati ya wasemaji wa Nchi Ya Israel??
 
Back
Top Bottom