Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea mahojiano ya Benjamin Netanyahu youtube 1982 utaelewa uhusiano wa soviet / russia na palestineIsrael anasahau haraka. Russia hacheki na msaliti. Israel alimsaliti Russia pale pale Syria.
Inasemekana, Russia aliomba kukaa pale Latkia/Syria na kuweka base yake in a Way kumlinda Israel. Sasa Israel kwa kibri akaua askari wa kielekroniki walikuwa kwenye ndege ya Uchunguzi ya Russia pale Syria kwa kuzubaisha mitambo ya Syria kuifyatulia kombora ndege hiyo ya Uchunguzi.
Israel waligundua hasira za Russia, kiasi cha kwenda Moscow kuomba msamaha na alikwenda Waziri Mkuu wa Israel mwenyewe. Hiki kisa nadhani bado hamjakisahau.
Russia hasamehi kirahisi Rahisi, waweza kukuta huyo Kamanda aliyeondoka ndiye aliamrisha shambulizi like la askari wa Russia kule Syria. Nawaza!!!
Tulikua tunaota Israel inafutwa kwenye ramani,,,,yanatimia.Hamas wakaze kamba tu na Allah awathibitishe katika nia na mapigo yao.Muda si mrefu vita vitabadilika na kusambaratisha kitu kilichokuwa hakikutarajiwa.
Israel anasahau haraka. Russia hacheki na msaliti. Israel alimsaliti Russia pale pale Syria.
Inasemekana, Russia aliomba kukaa pale Latkia/Syria na kuweka base yake in a Way kumlinda Israel. Sasa Israel kwa kibri akaua askari wa kielekroniki walikuwa kwenye ndege ya Uchunguzi ya Russia pale Syria kwa kuzubaisha mitambo ya Syria kuifyatulia kombora ndege hiyo ya Uchunguzi.
Israel waligundua hasira za Russia, kiasi cha kwenda Moscow kuomba msamaha na alikwenda Waziri Mkuu wa Israel mwenyewe. Hiki kisa nadhani bado hamjakisahau.
Russia hasamehi kirahisi Rahisi, waweza kukuta huyo Kamanda aliyeondoka ndiye aliamrisha shambulizi like la askari wa Russia kule Syria. Nawaza!!!
IsraeRejea mahojiano ya Benjamin Netanyahu youtube 1982 utaelewa uhusiano wa soviet / russia na palestine
tangu israel wamevamia Gaza miaka nenda rudi hakuna mateso ambayo wapalestina hawajapitia kwa hiyo hakuna jipya kwao hata mtoto wa miezi 6 anajua iko siku atakufa kwa bomuMkuu,
Sifikiri ni sawa kusema maneno haya. Hakuna mtu anayesema tumezoea kufa, ukiangalia watu wanavyoteseka huko huwezi sema watu wamezoea kufa.
Ni vile hawana namna lakini hakuna anayependa yale maisha.
Ilibidi wapambane kulinda raia zao, kwanini israel wanalinda raia zao ilibidi wafanye vivyo hivyo kwa palestine. Raia watafutiwe sehemu maalumu.
Hatuoni uzito sababu hatupo kule ila roho inauma watu wanavyopotea.
Na wewe ni bikra? Au ulishaipoteza kwa chipsi yai?ila Hamas wana kula bikra 72 au sio
Costs of war...Japo wameshaua wapalestina zaidi 20 ukiunganisha na wale walio chini ya kifusi hata hivyo kifo cha askari mmoja wa cheo cha juu kumewahuzunisha sana viongozi wa Israel akiwemo kamanda mkuu wa vita baina yake na wanamgambo wa Hamas.
Baba yake meja Gal huku akilia na kukumbatia jeneza la mwanawe huko Jerusalem alisema huku akimwita mwanawe maiti "Gal,Mimi nina uhakika tutaendelea kuilinda nchi uliyoipenda na tutakuwa washindi.."
Naye Benjamin Netanyahu akasema vifo vya mashujaa wao havitokei bure na kwamba watapigana mpaka ushindi upatikane.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni waziri wa zamani wa ulinzi Benny Gantez ambaye ni mpinzani wa Netanyahu aliyekubali kujiunga katika baraza la vita kupambana na Hamas.
View attachment 2837219
Hapa ndipo unapata utofauti wa HAMAS na ISRAEL katika hii vita Yao huko Gaza..Wapalestina wamezoea kufa nashangaa hawa jamaa kafa sijui mtoto wa nani serikali nzima inalia.
Lkn Isreal kila anaekufa huko alipo anateseka sana na anajuta kwanini kaangamizwa na LetanyahuKisasi cha kifo hiki kinaweza kuwa kibaya sana kwa Wapalestina.
Watu wengi wako kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi na wanalipiwa na serikali na hawapati raha walizozizoea.Ilitarajiwa wakae kwa muda mfupi mapa zoezi la kuwamaliza Hamas litakapomalizika,Tulikua tunaota Israel inafutwa kwenye ramani,,,,yanatimia.
Mashambulizi ya mara Kwa mara ya kushtukiza raia hawawezi vumilia watahama,na hili ndo lengo kuubwa la vile vikundi.
Acha niishi humu 😂Na wewe ni bikra? Au ulishaipoteza kwa chipsi yai?
Jibu nilichokuuliza coz naona unawaonea wivu wenye bikra,Acha niishi humu 😂View attachment 2837645
Unaota au unawaza?. Umesemaaaaa?? vita vitamgeukia ....!Hakuna nguvu ya kupiga waliyonayo mayahudi ukiondoa nyuklia kule ile waliyoitumia baada ya oktoba 7 mpaka vita vilipositishwa kwa wiki moja.
Nakuhakikishia wakishindwa kuokoa mateka na vifo kuongezeka upande wao basi baada ya mwezi vita vitawageukia vibaya Israel.
Umeiona hiyo picha ya askari wa cheo cha juu aliyejeruhiwa.Unaota au unawaza?. Umesemaaaaa?? vita vitamgeukia ....!
Japo wameshaua wapalestina zaidi 20 ukiunganisha na wale walio chini ya kifusi hata hivyo kifo cha askari mmoja wa cheo cha juu kumewahuzunisha sana viongozi wa Israel akiwemo kamanda mkuu wa vita baina yake na wanamgambo wa Hamas.
Baba yake meja Gal huku akilia na kukumbatia jeneza la mwanawe huko Jerusalem alisema huku akimwita mwanawe maiti "Gal,Mimi nina uhakika tutaendelea kuilinda nchi uliyoipenda na tutakuwa washindi.."
Naye Benjamin Netanyahu akasema vifo vya mashujaa wao havitokei bure na kwamba watapigana mpaka ushindi upatikane.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni waziri wa zamani wa ulinzi Benny Gantez ambaye ni mpinzani wa Netanyahu aliyekubali kujiunga katika baraza la vita kupambana na Hamas.
Wewe ni muongo huyo mtoto wa Gen,