Netanyau atinga kambi ya Jeshi la Israel iliyopigwa na drone, aapa kuitandika Hezbollah bila huruma popote walipo Lebanon ikiwemo Beirut

Nani wa kuomba suluhu?
 
Nią ya waarabu/ waislam ni kufuta wayahudi. Hizi nyingine ni porojo tu
Japo unajifanya kukwepa ukweli nilioandika. Lakini nashukuru moyo wako umenielewa. Uzuri wa moyo huwa haufugi unafiki. Unaweza kujifanya mnafiki katika macho ya watu, lkn rohoni ukakubaliana na kile nilichoandika.

Ili Netanyahu aishi kwa amani pale mashariki ya kati, inatakiwa afuate sheria za kimataifa. I mean ajenge katika ardhi yake na sio ardhi za wenzake.

Hii ndio comment yangu ya mwisho kwako katika uzi huu. Sina muda wa kubishana na mtu anaetetea ujinga huku akijua vizuri kuwa anachokitetea hapa ni ujinga. Have a good night
 
Wakiristo wa jf mumelipwa shilingi ngapi na mayahudi kueneza propaganda zao jf? Hata vikimaliza vita mtakuwa matajiri wakubwa
Suruali fupi mlikuwa mnatamba eti Hisbollah atawapiga Israel hahahaa sasa viongozi wote wa Hisbollah wametangulia kwenye 🔥 wa Allah
 
Wakiristo wa jf mumelipwa shilingi ngapi na mayahudi kueneza propaganda zao jf? Hata vikimaliza vita mtakuwa matajiri wakubwa
Wew tafuta namna ya kuwashauli wakristo waanzishe kikundi cha kigaidi cha kikiristo cha kumpigania Mungu wao kwa silaha. Nawashangaa sana wakristo leo hii wangekuwa na kikundi kinautwa Christian resistance army wasingekuwa wanyonge hivi.
 
Huku Geita tuko hatua za mwisho mwisho kuanzisha christian resistance army
 
Labda wanafaidika na kwenda kufanya parade la lgbtq
 
Mwisho wa siku anaenda kutatinda wananchi wa kawaida ...
 
Unalialia nini Sasa mbona malalamiko mengi sana mala viongozi wenzie hawamtaki wewe inakuhusu nini netanyahu yupo sana na ataendelea kuua magaidi Kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu ni miaka yote imekua hivyo.
Na hakukutokea vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Maana wanachokipigania ni cha wote sio waislam pekee.
 
akitoa hapo anaenda kwenye handaki kujificha...kama panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…