Netanyau atinga kambi ya Jeshi la Israel iliyopigwa na drone, aapa kuitandika Hezbollah bila huruma popote walipo Lebanon ikiwemo Beirut

Netanyau atinga kambi ya Jeshi la Israel iliyopigwa na drone, aapa kuitandika Hezbollah bila huruma popote walipo Lebanon ikiwemo Beirut

Kwa hiyo akijiuzulu magaidi wataacha nia yao ya kuwaangamiza wayahudi?!
1. Iran kuna wayahudi hakuna anaewagusa.
2. Palestina kuna wayahudi hakuna anaewagusa.
3. Jordan kuna wayahudi hakuna anaewagusa.
4. Syria kuna wayahudi hakuna anaewagusa.
5. Lebanon na nchi nyingine nyingi za eneo hilo kuna wayahudi na hakuna anaewagusa.

Hivyo hata hao kina Netanyahu na genge lake wakifuata mipaka ile ile iliyowekwa na Umoja wa Mataifa kati yake na Wapalestina hakuna mtu atakaewagusa. Ila wakiendelea kuvamia maeneo ya wenzao kuwafukuza katika nyumba zao, kujenga katika ardhi za wenzao huko ukingo wa magharibi, basi watakuwa wanatafuta wenyewe ugomvi na hivyo wataendelea kupambana tu.

Ni kama vile serikali ilivyowatoa wamasai katika ardhi zao kwa nguvu, kila mtu ukiwemo wewe ulilalamika. Sasa kwanini na wenyewe wapalestina wakitolewa kwa nguvu wasilalamike. Cha ajabu wakilalamika wanakamatwa, wakiandamana wanapigwa risasi. Sasa haki hapo iko wapi? Kwanini waisrael wasiridhike na mipaka iliyowekwa ili kuondoa mivutano isiyokuwa na lazima. Bunduki na vifungo kwa wadai haki zao haviwezi kuwa suluhisho la kudumu. Maana kuna siku wale mnaowapiga bunduki na kuwafunga watachoka na kuamua liwalo na liwe, hivyo kuleta maafa pande zote wanyanyasaji na wanyanyaswaji.

Nina imani hata wewe unajua mateso yote wanayopitia wapalestina kule ukingo wa magharibi, sema tu itikadi fulani inakufanya ujifanye huyafahamu. Kila siku, kabla hata ya October 7 Israel imekuwa ikikatazwa na Umoja wa mataifa na sometimes hata Marekani yenyewe kuwa wasitumie nguvu kujenga katika maeneo ambayo sio halali wao kujenga, lakini wanakaidi kwa kuona hakuna mtu wa kuwafanya kitu.
 
Hata akijiuzulu, atakayekuja utakuta ana moto huo huo. Huko nyuma, walishakuwepo wababe kama akina Moshe Dayan, Yitzhak Rabin, Ariel Sharon n.k, kila wakibadilishwa wanakuja wengine wa moto hivyo hivyo.
Ni kama viongozi wa uncle sam (USA), wanabadilishwa lakini mambo yao ni yale yale.
Yeah. Watu wanashindwa kuelewa kwamba hao viongozi sio wao kwa majina binafsi (Personal interest) bali wanausimamia na kuzingatia Mfumo (System)uliopo. Kumbadilisha kiongozi hakuna Tija kwani awe yeyote yule atakayeshika hiyo nafasi lazima azingatie kanuni zilizopo.
 
Hata akijiuzulu, atakayekuja utakuta ana moto huo huo. Huko nyuma, walishakuwepo wababe kama akina Moshe Dayan, Yitzhak Rabin, Ariel Sharon n.k, kila wakibadilishwa wanakuja wengine wa moto hivyo hivyo.
Ni kama viongozi wa uncle sam (USA), wanabadilishwa lakini mambo yao ni yale yale.
Hakuna kiongozi wq isael aliyeleta maafa kwa israel kama netanyahu ,ni mbinafsi na hata viongozi waliopita wanamlaumu kwa kuweka maslahi yake ya kisiasa mbele kuliko ya watu wa israel, waziri wake wa vita gantz alijiuzulu baada ya kutofautiana nae hadharani ,na huyu wa sasa gallant pia anaendelea kumpinga hadharani kila siku hadi netanyahu anamtishia kumfukuza
Hadi sasa kapigana na mgambo wa hamas mwaka mzima hakuna alicho achieve, kaenda kumchokoza iran huku anajua kabisa nguvu hana ya kupigana na iran , anamtegemea marekani wqkati marekani hataki kujiingiza kwenye vita yupo kwenye uchaguzi sasa hivi, israel haijawahi kuwq na mpumbavu kama neyanyahu, ehud barak alimwambi asiende lebanon maana ni kutaka kuwaua wanajeshi wa idf bila ya sababu maana hakuna watakacho achieve ila kichwq nazi yule kaenda ,kasababisha hadi weqkness ya israel defence system imejulikana na dunia nzima ndio maana kasita kulipiza kisasi kwa iran ,kwa sasa hawezi kumgusa iran hadi defence system aliyotuma marekani ifike ama sivyo atachakazwa
 
Vikimaliza tuna uhakika kidogo boko haram na alshabab wa kenya na msumbiji watatulia
Hao yawezekana sasa hv wameshakuwa mobilised kwenda kuwasaidia ndugu katika Iamani. Kwa hiyo HAMAS, Hezbollah na Houths wakimalizika nao jamaa watakuwa wamemalizikia mumo humo ndani kwa ndani.
 
Netanyahu ajiuzulu tu, maana kiukweli nchi imemshinda vibaya. Kila siku anapigwa, mara houth, mara hezbulah, mara Hamas. Alidai wana mfumo bora kabisa wa ulinzi wa kuzuia makombora yoyote yanayotokea nje, lakini ni kama vile wameweka wavu juu ya ndoo ili kuzuia maji ya bomba yasijaze ndoo.

Jana Marekani alitangaza kuwa anafunga mfumo bora kabisa kuwahi kutokea (Thaad) ambao haitoruhusu hata nzi kutoka nje ya Israel kuingia nchini humo. Lakini kinachoshangaza mfumo huo uliotangazwa kufungwa jana jumlisha na mifumo mingine ya Iron Dome nk imeshindwa kuzuia drone 1 tu leo asubuhi kutoka Lebanon, ambayo imeingia mchana humo na kuuwa wanajeshi wa Israel na wengine kujeruhiwa. Je zingetumwa Hypersonic 5 mfululizo kutoka Iran ni nini kingetokea!!

Akae chini kuomba suluhu ili kuzuia maafa zaidi katika nchi yake, maana Ayatollah hana cha kupoteza. Nchi yake watu wanalala usingizi mzuri na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Hakuna nzi wala mende anaekatiza katika anga lake. Huku Israel wakiwa na kazi ya kukimbilia mashimoni (handakini) kila siku wanaposikia ving'ora.
Mental case.

Kwamba israel inapigwa? [emoji23]
 
Hao yawezekana sasa hv wameshakuwa mobilised kwenda kuwasaidia ndugu katika Iamani. Kwa hiyo HAMAS, Hezbollah na Houths wakimalizika nao jamaa watakuwa wamemalizikia mumo humo ndani kwa ndani.
Vikosi kwa sasa vimeenda kusaidia huko.....ndo maana huku Africa wamepumzika kidogo.........ashinde atakaeshinda ila hawa jamaa wapunguzwe
 
Ameshachanganyikiwa ni mwehu huyu!

Alishalipua kwa kupiga makombora wafu makaburi ya Beirut analipi tena la kufanya na la kusema!?
Hivi inakuwa ni kuchanganyikiwa kama adui akikimbilia makaburini eti asibutuliwe ila aachwe kwa kuwa yupo makaburini?
 
Vikosi kwa sasa vimeenda kusaidia huko.....ndo maana huku Africa wamepumzika kidogo.........ashinde atakaeshinda ila hawa jamaa wapunguzwe
Inaonekana kama kura ya ushindi inakwenda kwa Israeli. Tusubiri tuone.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Netanyau atembelea kambi ya Jeshi la Israel huko milima ya Golan. Ni kambi ile ilotandikwa Kwa drone za Hezbollah na kuleta maafa Kwa Jeshi la Israel.

Netanyau amesema watahakikisha wanawasaka magaidi wa Hezbollah kila sehemu waliyojificha huko Lebanon ikiwemo mji Mkuu wa Beirut.

Anaongeza kuwa Israel inapambana na Iran ambayo ni muhimili wa ugaidi duniani ambayo imekusudia kulifuta taifa la kiyahudi

Amedai kuwa anajua kuwa nchi yake inalipa gharama kubwa kwenye vita hii lakini mafanikio ni makubwa.

Soma Pia: Jeshi la Israel laazimia kusambaratisha kitengo 127 cha uzalishaji na uendeshaji wa drone cha Hezbollah pamoja na kuua makamanda wote

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Mungu wabariki watoto wote 12 wa Yakubu bin isihaka bin Ibrahimu


October 14, 2024

Netanyahu visits base hit by Hezbollah drone, says IDF will continue to strike in Beirut

Prime Minister Benjamin Netanyahu, center, visits a Golani training base targeted by a deadly Hezbollah drone strike a day earlier, October 14, 2024. (Kobi Gideon/GPO)

Visiting the Golani training base at which a Hezbollah drone killed four soldiers last night, Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to continue striking the Iran-backed Lebanese terror group, including in Beirut.

“We are fighting a tough campaign against Iran’s axis of evil that wants to totally destroy us,” says Netanyahu. “They won’t make it. We keep fighting. We pay painful prices, but we have tremendous achievements — and we will continue to achieve them.”

“I want to make it clear: we will continue to hit Hezbollah mercilessly in all parts of Lebanon — also in Beirut,” he says, after Hebrew media reports indicated that he had instructed the IDF to refrain from hitting the Lebanese capital at Washington’s behest.


Netanyahu visits the dining hall that was hit by the UAV, and talks about the incident with survivors.

He also visits soldiers injured in the attack at Hillel Yaffe Medical Center in Hadera.
Kaanza kula viapo tena ,,hichi sijui ni kiapo cha ngapi
 
ni kweli Waisraeli hawajasema habari za dini ila Hujamsikia A.Khamenei akiyataka mataifa ya kiislamu yaungane dhidi ya Myahudi? Hayo makundi yanayopigana dhidi ya Israeli ni makundi ya Kiislamu (Shia groups)chini ya ufadhili wa Iran ambalo ni Taifa linalojinasibu kuwa ni la Kiislamu.
Ayatollah hajasema nchi za kiislam ziungane kupigania dini ya kiislam.
Bali nchi za kiislam ziungane kutetea waislam.
Je hapo kuna mfanano mkuu!?
 
ni kweli Waisraeli hawajasema habari za dini ila Hujamsikia A.Khamenei akiyataka mataifa ya kiislamu yaungane dhidi ya Myahudi? Hayo makundi yanayopigana dhidi ya Israeli ni makundi ya Kiislamu (Shia groups)chini ya ufadhili wa Iran ambalo ni Taifa linalojinasibu kuwa ni la Kiislamu.
Ayatollah hajasema nchi za kiislam ziungane kupigania dini ya kiislam.
Bali nchi za kiislam ziungane kutetea waislam.
Je hapo kuna mfanano mkuu!?
 
Ayatollah hajasema nchi za kiislam ziungane kupigania dini ya kiislam.
Bali nchi za kiislam ziungane kutetea waislam.
Je hapo kuna mfanano mkuu!?
Ni Waislam gani watakaotetewa mkuu?
Mbona kote Lebanon, Gaza wapo Wakristo, Wayahudi, Waislam hata dini za Jadi? Kama Waislam wakijibagua kwa mtindo huo, mwishoni mwa vita itakuwaje?
Ingelifaa waseme nchi za kiislam ziungane kutetea Haki.
 
Ni Waislam gani watakaotetewa mkuu?
Mbona kote Lebanon, Gaza wapo Wakristo, Wayahudi, Waislam hata dini za Jadi? Kama Waislam wakijibagua mwishoni mwa vita itakuwaje?
Ingelifaa waseme nchi za kiislam ziungane kutetea Haki.
Ameongea kauli hiyo kwasababu mashariki ya kati majority ni waislam kuliko dini nyingine.
Ila haimaanishi kuwa dini zingine wametengwa laa hasha kaka.
 
Ameongea kauli hiyo kwasababu mashariki ya kati majority ni waislam kuliko dini nyingine.
Ila haimaanishi kuwa dini zingine wametengwa laa hasha kaka.
Ni dhana inayoonekana kutenga Raia wa eneo husika na kumbuka mti wa mbuyu huanza kama mchicha, lakini baadya ni mti mkubwa sana. Kwa mantiki hiyo hako kaneno kanaonekana kadogo kwa sasa ila huko mbeleni inaweza kuja kuwa ni hoja ngumu kubwa tena itakayoweza kuzaa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Ni bora ikaachwa hata kama ni hoja ya majority.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Netanyau atembelea kambi ya Jeshi la Israel huko milima ya Golan. Ni kambi ile ilotandikwa Kwa drone za Hezbollah na kuleta maafa Kwa Jeshi la Israel.

Netanyau amesema watahakikisha wanawasaka magaidi wa Hezbollah kila sehemu waliyojificha huko Lebanon ikiwemo mji Mkuu wa Beirut.

Anaongeza kuwa Israel inapambana na Iran ambayo ni muhimili wa ugaidi duniani ambayo imekusudia kulifuta taifa la kiyahudi

Amedai kuwa anajua kuwa nchi yake inalipa gharama kubwa kwenye vita hii lakini mafanikio ni makubwa.

Soma Pia: Jeshi la Israel laazimia kusambaratisha kitengo 127 cha uzalishaji na uendeshaji wa drone cha Hezbollah pamoja na kuua makamanda wote

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Mungu wabariki watoto wote 12 wa Yakubu bin isihaka bin Ibrahimu


October 14, 2024

Netanyahu visits base hit by Hezbollah drone, says IDF will continue to strike in Beirut

Prime Minister Benjamin Netanyahu, center, visits a Golani training base targeted by a deadly Hezbollah drone strike a day earlier, October 14, 2024. (Kobi Gideon/GPO)

Visiting the Golani training base at which a Hezbollah drone killed four soldiers last night, Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to continue striking the Iran-backed Lebanese terror group, including in Beirut.

“We are fighting a tough campaign against Iran’s axis of evil that wants to totally destroy us,” says Netanyahu. “They won’t make it. We keep fighting. We pay painful prices, but we have tremendous achievements — and we will continue to achieve them.”

“I want to make it clear: we will continue to hit Hezbollah mercilessly in all parts of Lebanon — also in Beirut,” he says, after Hebrew media reports indicated that he had instructed the IDF to refrain from hitting the Lebanese capital at Washington’s behest.


Netanyahu visits the dining hall that was hit by the UAV, and talks about the incident with survivors.

He also visits soldiers injured in the attack at Hillel Yaffe Medical Center in Hadera.
Ikiwa hivyo atazitembea kambi nyingi. Hii nyingine imebamizwa Haifa:


View: https://www.youtube.com/live/h1J8TmxaDcY?si=eaELDQPir2TbIrEv
 
Netanyahu ajiuzulu tu, maana kiukweli nchi imemshinda vibaya. Kila siku anapigwa, mara houth, mara hezbulah, mara Hamas. Alidai wana mfumo bora kabisa wa ulinzi wa kuzuia makombora yoyote yanayotokea nje, lakini ni kama vile wameweka wavu juu ya ndoo ili kuzuia maji ya bomba yasijaze ndoo.

Jana Marekani alitangaza kuwa anafunga mfumo bora kabisa kuwahi kutokea (Thaad) ambao haitoruhusu hata nzi kutoka nje ya Israel kuingia nchini humo. Lakini kinachoshangaza mfumo huo uliotangazwa kufungwa jana jumlisha na mifumo mingine ya Iron Dome nk imeshindwa kuzuia drone 1 tu leo asubuhi kutoka Lebanon, ambayo imeingia mchana humo na kuuwa wanajeshi wa Israel na wengine kujeruhiwa. Je zingetumwa Hypersonic 5 mfululizo kutoka Iran ni nini kingetokea!!

Akae chini kuomba suluhu ili kuzuia maafa zaidi katika nchi yake, maana Ayatollah hana cha kupoteza. Nchi yake watu wanalala usingizi mzuri na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Hakuna nzi wala mende anaekatiza katika anga lake. Huku Israel wakiwa na kazi ya kukimbilia mashimoni (handakini) kila siku wanaposikia ving'ora.
Hii comment yako hadi wenzako watakua wanakushangaa. Mmeshaanza kusahau vipigo vilivyowafanya mumpigie kelele watu wanakufa sana
 
Back
Top Bottom