New couple in town
Zuchu asibebe tu mimba, mahusiano na boss mara nyingi huishia pabaya sana
Mwacheni boss aweke mbegu bana niliwahi kumsikia hadija kopa akisema kwenye intavyiuu flani baada ya uvumi kuwa zuchu analiwa na Mondi!

Nilitegemea maneno ya busara ila cha ajabu alisema yote heri tu na pia ni raha mtoto wako kuchukuliwa ambako kwenye unafuu, yani maanake palipo na pesa! Toka pale niliacha ujinga nikaanza kutafta hela kwa namna yeyote ile😅
 
Mwacheni boss aweke mbegu bana niliwahi kumsikia hadija kopa akisema kwenye intavyiuu flani baada ya uvumi kuwa zuchu analiwa na Mondi!

Nilitegemea maneno ya busara ila cha ajabu alisema yote heri tu na pia ni raha mtoto wako kuchukuliwa ambako kwenye unafuu, yani maanake palipo na pesa! Toka pale niliacha ujinga nikaanza kutafta hela kwa namna yeyote ile[emoji28]
Wamama wa kiswahili huwa hawajali umalaya wa ma Binti zao sijui kwanini?
 
Ila hizo habari anazopost mange yeye huwa ameshazitoa zaidi hata ya mwezi sema mange anajulikana sana, pia kufutiwa page ila umbeya wake huwa wa mwanzo, Sasa hii ya zuchu alishapost zaidi ya mwezi, mange ni repitition tu yake
Lakin mange ana ubuyu hot ngoja atulie tu web na app zikae sawa
 
Kuna wakati nyinyi wenyewe mnawasingizia wasanii kusema wanatengeneza kiki hii habari nimeiyona kwa Mangekimambi yeye ndio source ya hii habari na nyinyi wafuata mkumbo nashangaa unaposema maanii ndio katengeneza hii kiki hakuna sehemu yoyote wahusika wamesema wanamahusiano ya kimapenzi ndio yaleyale unakuta msanii kapost picha lambda ya bidada bila kuweka caption yoyote wadau utakuta washaleta tafsiri yao baadae wakiona huyo dada ni video queen wanaanza kusema msanii anatafuta kiki
Caption ya diamon hukuion aisee embu nenda ista utaona alichoandika , caption yenyewe alisema 'well, i found a girl sijui she is sweet kaweka na picha yake .nini maana ya hiyo. Bana wee hii ni kiki
 
[emoji23][emoji23] bi Khadija hatari sana aisee ila haya mahusiano namhurumia zuchu asije kuwa victim wa Diamond
Kama ni kweli, NASEEB NDO ANAENDA KUWA VICTIM.

Zuchu ni mtoto wa KHADIJA KOPA, narudia KHADIJA OMAR KOPA.

Waulize waimba Taarab wote Tanzania na sauti zao na bendi zao.
Sandra kapadia kiboko yake.

Although sipendi mana Zuchu ndo ataacha muziki ila HATAACHA MUZIKI AKAWE MPIKA CHAPATI ZA KURASA.

Tuendelee kutizama.
 
Caption ya diamon hukuion aisee embu nenda ista utaona alichoandika , caption yenyewe alisema 'well, i found a girl sijui she is sweet kaweka na picha yake .nini maana ya hiyo. Bana wee hii ni kiki
Halafu ukitaka kujua ni kik domo anamla Zuchu kitambo tuu Sema ndo ilikua chini kwa chini. Sasa hivi haongelewi na hana demu wa kututambia kaamua kumtumia Mngazija wa watu ili akae kwenye spotlight
 
Back
Top Bottom