witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mmmmh...niliona chokochoko zaoUmbea wote kwa Original East mkwe wangu. Dada wa taifa mwenyewe anautoa huko
Ila OE umbea wake hauna stimu kiviile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh...niliona chokochoko zaoUmbea wote kwa Original East mkwe wangu. Dada wa taifa mwenyewe anautoa huko
Yes...kuliko mademu wa Domo woteeKimNana mkali kuliko wote?
Mwacheni boss aweke mbegu bana niliwahi kumsikia hadija kopa akisema kwenye intavyiuu flani baada ya uvumi kuwa zuchu analiwa na Mondi!Zuchu asibebe tu mimba, mahusiano na boss mara nyingi huishia pabaya sana
Naam na hili ndio la msingiChura ipo lakini
Ova
Mi napenda kweli umbea wake. Da Mange hadi umbea anataka tulipie kweli? Yani tukalipie dhambi ya kusengenya sidhaniMmmmh...niliona chokochoko zao
Ila OE umbea wake hauna stimu kiviile
Mweeee. Kweli uzuri uko machoni kwa mtu. Mi namuona wa kawaida tu labda picha zake ndo nzuri ila pia bado hajazidi wanawake wengi tu wa domoYes...kuliko mademu wa Domo wotee
East hawezi mfikia mange jamani jata afanyejeUmbea wote kwa Original East mkwe wangu. Dada wa taifa mwenyewe anautoa huko
SawaEast hawezi mfikia mange jamani jata afanyeje
Wamama wa kiswahili huwa hawajali umalaya wa ma Binti zao sijui kwanini?Mwacheni boss aweke mbegu bana niliwahi kumsikia hadija kopa akisema kwenye intavyiuu flani baada ya uvumi kuwa zuchu analiwa na Mondi!
Nilitegemea maneno ya busara ila cha ajabu alisema yote heri tu na pia ni raha mtoto wako kuchukuliwa ambako kwenye unafuu, yani maanake palipo na pesa! Toka pale niliacha ujinga nikaanza kutafta hela kwa namna yeyote ile[emoji28]
Ila hizo habari anazopost mange yeye huwa ameshazitoa zaidi hata ya mwezi sema mange anajulikana sana, pia kufutiwa page ila umbeya wake huwa wa mwanzo, Sasa hii ya zuchu alishapost zaidi ya mwezi, mange ni repitition tu yakeEast hawezi mfikia mange jamani jata afanyeje
Wewe hpo ulipo hakufikii hata kdg bossMweeee. Kweli uzuri uko machoni kwa mtu. Mi namuona wa kawaida tu labda picha zake ndo nzuri ila pia bado hajazidi wanawake wengi tu wa domo
SawaEast hawezi mfikia mange jamani jata afanyeje
Hahahahaaa... Kimnana mzuri bwana Sema kusema mzuri kuliko mademu wote wa Mondi mimi sijakubali.Wewe hpo ulipo hakufikii hata kdg boss
[emoji23][emoji23]
Maana we ni full package
Ova
Jaman warumi amefariki lini??Mpk Leo naitazama sura ya my warumi siamini kama ameleft in peace!naumia sana nakumbuka pacha wake alivyokua Analia kama mtoto mdogo!!daah!
Lakin mange ana ubuyu hot ngoja atulie tu web na app zikae sawaIla hizo habari anazopost mange yeye huwa ameshazitoa zaidi hata ya mwezi sema mange anajulikana sana, pia kufutiwa page ila umbeya wake huwa wa mwanzo, Sasa hii ya zuchu alishapost zaidi ya mwezi, mange ni repitition tu yake
Nisaidie handle yake kipenziUmbea wote kwa Original East mkwe wangu. Dada wa taifa mwenyewe anautoa huko
politiks_tzNisaidie handle yake kipenzi
Caption ya diamon hukuion aisee embu nenda ista utaona alichoandika , caption yenyewe alisema 'well, i found a girl sijui she is sweet kaweka na picha yake .nini maana ya hiyo. Bana wee hii ni kikiKuna wakati nyinyi wenyewe mnawasingizia wasanii kusema wanatengeneza kiki hii habari nimeiyona kwa Mangekimambi yeye ndio source ya hii habari na nyinyi wafuata mkumbo nashangaa unaposema maanii ndio katengeneza hii kiki hakuna sehemu yoyote wahusika wamesema wanamahusiano ya kimapenzi ndio yaleyale unakuta msanii kapost picha lambda ya bidada bila kuweka caption yoyote wadau utakuta washaleta tafsiri yao baadae wakiona huyo dada ni video queen wanaanza kusema msanii anatafuta kiki
Kama ni kweli, NASEEB NDO ANAENDA KUWA VICTIM.[emoji23][emoji23] bi Khadija hatari sana aisee ila haya mahusiano namhurumia zuchu asije kuwa victim wa Diamond
Halafu ukitaka kujua ni kik domo anamla Zuchu kitambo tuu Sema ndo ilikua chini kwa chini. Sasa hivi haongelewi na hana demu wa kututambia kaamua kumtumia Mngazija wa watu ili akae kwenye spotlightCaption ya diamon hukuion aisee embu nenda ista utaona alichoandika , caption yenyewe alisema 'well, i found a girl sijui she is sweet kaweka na picha yake .nini maana ya hiyo. Bana wee hii ni kiki