New couple in town
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya

Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa

Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo

Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji

Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda

VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !

Pia soma,

 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy tobo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy robo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu

Diamond safari hii ametomb* Moto asee!!

Hatari sana! Hila kwa Diamond na Zuchu hiyo ni kiki ya wimbo trust me
IMG_0600.jpg
 
Hii ni Kiki Diamond hajafikia muda wa kuoa labda arogwe!

Diamond awezi muoa Zuchu! Kama Zuchu anatarajia hilo au kuna mtanzania ana taraji hilo basi lazima awe amechanganyikiwa kabisa!

Hii ni kiki ya wimbo na imekuwa style ya Diamond...
Zuchu kuliwa na Diamond sio story kabisa bali story kubwa inaweza kuwa Diamond kumuoa Zuchu huu ni uongo
 
Ila mapenzi ya mtu na bosi wake kunakuwa na uzembe mkubwa Sana kwenye kazi..Niliwahi kumiliki saluni ya kike nikaingiwa na tamaa na mfanyakazi niliyemweka asimamie saluni,kumbe nae alikuwa ananitegeshea mbususu yake ili afanye saluni ndy robo la kutokea

Kilichofuata ni hasara Kwa kwenda mbele,kila siku analalamika Hana hela ya Kula namwambia chukua ya saluni..kilichofuata baada ya miezi sita nilifilisika.Mpaka leo nimebakiwa na mataulo tu ya kutosha ghetto km kumbukumbu

Diamond safari hii ametomb* Moto asee!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya

Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa

Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo

Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji

Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda

VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hamna chochote strategy za biashara zao ziende.
 
Back
Top Bottom