Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa
Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo
Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji
Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda
VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !
Pia soma,
www.jamiiforums.com
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa majukumu yangu namkuta mama kopa kaleta taarifa ya mwanae zuhura kuolewa na kadi za mwaliko zimeletwa
Sasa sijadososa muoaji n Nani Kwan imekuwa Siri mnooo
Za ndaaani zinasema yule ceo wa radio maarufu hapo bongo na mmiliki wakiwanda cha muziki ndye muoaji
Kama Ni kweli basi zuchu KAWAWEZA HADI WATU WAZIMA WOTE na makungwi wa mapenz hapo bongo na Kenya na Uganda
VIPI WENZANGU MMEAMBIWA SARE ITAKUWAJE !
Pia soma,
New couple in town
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz. Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Kabla ya kuwa na...