Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mchina hakulipi mshahara, utajilipa mwenyewe hapo ofisiniKuna hii hali ya no morale, no job satisfaction, passengers captivity, motivation poor, extreme exploitation, maringo ya waajiri, frustrations za matajiri, umafia, supervision poor, uongo, yaani vurugu tele, mtanzania anataka close supervision na monitoring kila dakika
Hatari sanaMchina hakulipi mshahara, utajilipa mwenyewe hapo ofisini
Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nmetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavo onekana kwenye risiti. Nmekabidhi ofisi ya mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehem ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 jan ufike mbeya tarehe 14 jan asubuhi alie kwenda kupokea ofisini mbeya akaambiwa haupo.
View attachment 2489201
Kilicho fata ni kuzungushwa na kujibiwa hovyo kuto kupokelewa simu tarehe 15 nikaenda mbezi nikaambiwa Gerizetu yani new force hazina matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama tan boy ivo wanasahau kushusha mzigo nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Iyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuemo humo.
View attachment 2489203
Mzigo nikaambiwa umeachwa makambako nikajiuliza huu ndio utaratibu wa new force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo. Kuna jamaa nilipo toka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo huto upata nenda polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.
Mzigo wangu jana 16Jan ukashushwa makambako na new force inayotoka tunduma leo mchana kuna msamaria mwema pale makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika mbeya tangu tarehe 12 hadi leo. Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanazulumiwa.? Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nmekabidhi kwake. MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA IYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
Hali hii imesababisha ubabaifu wote unao mgharimu mtejaHatari sana
Sahihi kabisa nchii hii ni banana republicHali hii imesababisha ubabaifu wote unao mgharimu mteja
Mzigo umeshafika Mbeya. Ila kwa gharama kubwa zaidi na kwa kuchelewa sana
Nkanini Nkanandi Nkatoto, nkadogooAcha upumbavu mkuu,hii ni haki yake na anatumia push 🔙 kupata haki yake, service mbovu kama hii lazima iwe exposed na njia pekee ya consumers ni kutofanya nao biashara, hit them hard kwenye mifuko yao
Yes mkuu hii ndio tunaita A1 service, mimi ni timu Sauli, ila welldone kwa Kimbinyiko, mdau mimi nimeshashawishiwa uzuri wa service yenu, going extra mile to satisfy the client, welldoneManzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea
Pole mkuu
Usifananishe ndege na basi za bongo.Hata kwenye bombadier. Obama akija Kenya kwa mara ya kwanza akiwa senator mizigo yake ilikuwa misplaced pia.
Obama loses luggage on first trip to Kenya
Ije kuwa kwenye mabasi ya bongo?
Na hii mkuu ndio utaratibu unaotakiwa,Pima mzigo wako na lipia na sio kona kona za ajabuTatizo limeanzia juu na wafanyakazi wana take advantage.
Scandinavia waliweka jedwali la uzito na gharama ya kusafiria na mzani ulikuwepo pale.
Ukiwa na kilo 10 unakuwa unakua kabisa kiwango wa wewe kulipa
Hili hata halijamkuta yeye Tapeli tu Moderator walipaswa kuweka ka title cha dokezo tu.Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
So unaamini hii kitu imemkuta yeye au huyu kaamua tu kuendelea kusambaza kitu ambacho kilishatatuliwa tena kilichomtokea mwanamke?Ana haki ya kutoa dukuduku lake na kuwaonya wengine wachukue tahadhari kabla ya hatari.
Makampuni ya usafirishaji yanatakiwa kuacha ubabaishaji. Scandinavia waliweza nyie mnashindwa nini?
DHL wanawezaje?
Kimbinyiko wako vzrManzi yangu ashashushiwa begi na kuachiwa ambalo sio lake. Ila honestly Amna gari waaminifu kama kimbinyiko ya njombe dodoma. Walimfatilia jamaa aloshusha begi adi kwake mafinga aise
Kimbinyiko wapo makini Sana kwenye mizigo na wanakua tayari kulipa thamani ya mzigo kama ukipotea
Pole mkuu
Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo.[emoji3064]Ninapenda kutoa huu mkasa kama ifuatavyo. Tarehe 12/1/2023 nmetuma mzigo kutoka DSM kwenda Mbeya kama inavo onekana kwenye risiti. Nmekabidhi ofisi ya mbezi imeandikwa Golden Deer na Newforce ipo flow ya pili mwisho kabisa jirani na sehem ya chakula. Mzigo nilitwgemea tarehe 13 jan ufike mbeya tarehe 14 jan asubuhi alie kwenda kupokea ofisini mbeya akaambiwa haupo.
View attachment 2489201
Kilicho fata ni kuzungushwa na kujibiwa hovyo kuto kupokelewa simu tarehe 15 nikaenda mbezi nikaambiwa Gerizetu yani new force hazina matanboy ina dereva wawili mmoja anakua kama tan boy ivo wanasahau kushusha mzigo nikawauliza ni mizigo yote au wangu tuu. Iyo siku waliupakia niliwaskia wakisema gari ina namba DKB ulikuemo humo.
View attachment 2489203
Mzigo nikaambiwa umeachwa makambako nikajiuliza huu ndio utaratibu wa new force. Tukazinguana nikaambiwa unarudishwa dar tena kwa dharau nikajibiwa kama vipi tukulipe tuu thamani ya mzigo wako wanajisahau mimi nikienda kuuza napata faida wao wanajibu hovyo. Kuna jamaa nilipo toka pale ofisini akanidokeza akaniambia hao jamaa ndio michezo yao ukizubaa huo mzigo huto upata nenda polisi. Bahati ninajuana na watu wengi humo njiani.
Mzigo wangu jana 16Jan ukashushwa makambako na new force inayotoka tunduma leo mchana kuna msamaria mwema pale makambako kanisaidia kaupakia Super Rojas umefika mbeya tangu tarehe 12 hadi leo. Hii kitu imeniuma mimi ni vile najuana na wadau wengi sasa raia wasio na connection si ndio wanazulumiwa.? Huyo jamaa hapo Tarimo hajui chochote na ndio nmekabidhi kwake. MIMI NAWASIHI SIO SALAMA KUTUMIA IYO OFISI YA NEW FORCE HAPO MBEZI HAO JAMAA SIO WAAMINIFU. ADMIN HII NI KWA NIA NJEMA KUSAIDIA RAIA.
Usifananishe ndege na basi za bongo.
Ndege Kuna utaratibu na mizigo inakuwa scanned kuendea mwisho wa safari hivyo kama ulivadiki ndege ukaachwa Kwa vyovyote utakuja kwenye next flight.
Mbongo akiona mzigo umesahaulika basi tayari ashaanza kupanga Dili. Bila.kujiuliza mwenye mzigo alianzia safari wapi na mwisho wa safari ilikuwa wapi asaidiwe kufikiahiwa.
Tamaa imezidi.