Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Issue sio ya Latra, wenye jukumu hili ni TCRALatra wapo na ilo swala hawawezi fatilia. Bus zinaamua zenyewe ulipe shillingi ngapi. Bei atakayojisikia mkatisha tiketi kukucharge ndjo iyo utatoa
Latra wapo na ilo swala hawawezi fatilia. Bus zinaamua zenyewe ulipe shillingi ngapi. Bei atakayojisikia mkatisha tiketi kukucharge ndjo iyo utatoa
Lengo ni kuwasagia kunguni
We mjinga we ndio konda nini?Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Wanatumia kutokuwepo kwa mpinzaniAna haki ya kutoa dukuduku lake na kuwaonya wengine wachukue tahadhari kabla ya hatari.
Makampuni ya usafirishaji yanatakiwa kuacha ubabaishaji. Scandinavia waliweza nyie mnashindwa nini?
DHL wanawezaje?
Sababu hakuna amewahi wapeleka mahakani.Wachina wanajidai sana, wanasema nani wa kuwashitaki? Tupeleke kokote tutakushinda
Hii shughuli alitakiwa ifanya PostaKuna siku nilisafirisha mzigo uzito wa kg15 una kaupana 90X50 ila nikaambiwa elfu 60 nikaomba sababu hakuna nikawauliza gunia la maindi la kilo 100 tunalipa 30000 itakuwaje haka kamzigo.
Mabasi yana tatizo kwenye wafanyakazi wake sio uongozi wa juu
Hapa TCRA wamezembea, wao ndio wanaotoa leseni za kusafirisha mizigo. Mizigo inasafirishwa kutokana na uzito wake. Sio kutokana na thamani yake.
Mkuu almasi ya milioni kumi utaisafirisha na basi?Mkuu una maana 10kg usafiri ya sukari, dhahabu au almasi zitakuwa na gharama Ile Ile? Kiuhalisia thamani ya mzigo haiwezi kuepukwa kwenye kufahamu gharama za kusafirisha Kwa watu serious.
Mkuu hao Scandinavia kwani leo wanasema je?Ana haki ya kutoa dukuduku lake na kuwaonya wengine wachukue tahadhari kabla ya hatari.
Makampuni ya usafirishaji yanatakiwa kuacha ubabaishaji. Scandinavia waliweza nyie mnashindwa nini?
DHL wanawezaje?
Leo juma ngapi?Mkuu hao Scandinavia kwani leo wanasema je?
Mkuu almasi ya milioni kumi utaisafirisha na basi?
Mizigo yenye thamani kubwa hata kwenye ndege utatakiwa uikatie bima kwa kipindi cha safari, labda iwe ndege yako mwenyewe.
Mwenye basi atakayekubali basi lake lisafirishe almasi kienyeji kwa kutoza 10% ya value ya mzigo, anajitakia kufilisika
Lakini wanatakiwa kufanya kazi kwa mujibu wa muongozo ulioainishwa kwenye leseni yao ya biashara iliyotolewa na TCRANinadhani ndiyo sababu ya msafirishaji kujua thamani ya mzigo ili ajue risk kwake kiasi gani anaweza kuikubali na hata kuikabili Ikibidi kulipa fidia Kwa upotevu.
TCRA, LATRA wote wababaishaji tu. CCM ni Ile Ile.Lakini wanatakiwa kufanya kazi kwa mujibu wa muongozo ulioainishwa kwenye leseni yao ya biashara iliyotolewa na TCRA
Mwisho wa siku, adui mkubwa wa Mtanzania ni CCM na mifumo ya kinyonyaji waliyoiwekaTCRA, LATRA wote wababaishaji tu. CCM ni Ile Ile.
Acheni kutetea huduma za ajabu kwa visingizio vya kitoto sana. Wanasema sio mara ya kwanza wanafanya hivi. Acha aseme ili wanaoweza kusafirisha kwa uaminifu wapewe hayo majukumu. Ndio maana hiyo sector sio monopoly.Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Hawa super feo nao upande wa Moshi to songea ni washenzi tu kwakua iyo njia wapo waho tu .wana sumbua sanaGolden deer sijui New Force ni wababaishaji. Wanajiamini maana biashara ya nyanda za juu kusini wameishika kasoro Songea maana Superfeo anawapelekea moto balaa na G7 yake wana adabu kidogo, ila Mbeya, Tunduma na Sumbawanga jamaa wanaringa sana manina zao..
We mjinga we ndio konda nini?
Makampuni ya bus janja nyingi sana. Ukipeleka mzigo wanauliza thamani ya mzigo ukisema laki 3 wanaomba 30000 wanadai ni 10% ya thamani ya mzigo ndio wanaku charge
Ila ukienda na mzigo wa 30000 au chini ya laki hawapigi tena 10% wanataka uwape 10,000. Changamoto hakuna kigezo rasmi ya kutoza namna yao ya usafirishaji.
Mfano ni allys star