si kwa kiwango hicho...mbona ABC hawana upuuzi huo. New force ni wavuta bangi tu waleNimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Lengo lake ni kutupa tahadhari ya sisi tunaotumia sekta ya usafiri tuchukue tahadhari.Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
Umuhimu wa pesa unayolipa huwa unaonekana pale mzigo ukipotea, ukitaka kurudishiwa gharama zako.
Lengo lake ni kutupa tahadhari ya sisi tunaotumia sekta ya usafiri tuchukue tahadhari.
Basi za Kilimanjaro wana uaminifu na huduma nzuri sana kwenye mizigo. Ni vile hawaendi nyanda za juu kusini ndo maana tunakosa huduma zao pande ile.
Ukienda pale Manzese kwenye ofisi za ABC Bus Service unaweza dhani kuna malori yanakuja kupakia mizigo, maana ipo shazi. ABC hawana longolongo, bei zipo rafiki na mzigo hauna kudelay. ABC inakwenda Mbeya, tumeni mizigo huko, hawa kina New Force tutumie kwa kumpa konda au dereva ile kisela, ila kama ni official achana nao mpaka watakapojifunza customer care.
So unaamini hii kitu imemkuta yeye au huyu kaamua tu kuendelea kusambaza kitu ambacho kilishatatuliwa tena kilichomtokea mwanamke?
Groups zote za Facebook za biashara kuna hii taarifa na ina wiki sasa
Eti hujui lengo ni nini [emoji23]Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
si kwa kiwango hicho...mbona ABC hawana upuuzi huo. New force ni wavuta bangi tu wale
Mnavyowatetea hao ABC sasa
Nshapiga chini bora Kimbinyiko au nimalizane na shambalai kiroho safi
Dume hiloKwani Nazjaz ni mwanaume?
Kwa hiyo kama yanatokea yasifuatiliwe?Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.
tunavyowatetea kivipi...hao wote ni businessmen, hao kimbinyiko wako nao ni wapuuzi kupitiliza labda una uhusiano nao wa damu.Mnavyowatetea hao ABC sasa
Nshapiga chini bora Kimbinyiko au nimalizane na shambalai kiroho safi
Mkuu, ni hivi vimizigo vidogovidogo ndio tunapenda kutumia mabasi. Laptop 1, labda simu 1 au mpaka 3, bahasha nkSijui Ni Mimi TU?
Sijawahi kua na imani na mabasi kwny parcels,labda bahasha TU.
Watu wa mabasi huwa wanaharaka za kijinga na kutojali mizigo ya wateja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko songea huyo superfeo Ana kero zaidi ya huyo newforce...... kuhusu parcel feo ni 0.Golden deer sijui New Force ni wababaishaji. Wanajiamini maana biashara ya nyanda za juu kusini wameishika kasoro Songea maana Superfeo anawapelekea moto balaa na G7 yake wana adabu kidogo, ila Mbeya, Tunduma na Sumbawanga jamaa wanaringa sana manina zao..
Hayapaswi kutokea sana, mleta uzi kufanya jambo jema ila wajirekebishe.Nimeona una sambaza bandiko hili sehem tofauti tofauti kwenye mitandao mingine ya kijamii, sijui lengo ni nini?
Hayo mambo yanatokea sana kwenye sector ya usafirishaji.