Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Watu hawajui hiloAfilisike vipi wakati New force na golden deer japo ni kampuni moja Hawa ni mawakala wa viwanda vya mabus ya Kampuni za China
mchina kajifunza uchawi africaUtamzidi uchawi mchina?
Acha kabisaaaa wanapigana Sana mikuki Yaani muda wote usiwe vugu vugu,kama baridi kua baridi kama moto kua motooobiashara ya mabasi ina miba sana..
Hapa ndipo point yangu ilipoIshu ni madereva,mbona zinapata tu
Aaah wapi, uchawi wetu level yake ndogo sana kwa hao wazee wa dragonmchina kajifunza uchawi africa
Ndo ilikua gari yangu Mbeya dar kibati sana saa 12 wanafungua geti uyoleHapa ndipo point yangu ilipo
Kwa watu ambao hawajawahi kupanda New Force hawataweza kukuelewa
Ila madavoo wa New Force wanakuwa kibati sana
Noma sanaNdo ilikua gari yangu Mbeya dar kibati sana saa 12 wanafungua geti uyole
Scania kwa ubora hana mshindani,labda Benzo,Volvo na Man ndio washindani wake huko duniani.Mchina kaiga vitu vingi kutoka nchi za magharibi bado mabus yanayokuja soko letu sio sawa na yale yanayopelekwa nchi za magharibi kutoka china hili hali scania ina ubora wa kueleweka.Si kweli
Tatizo la New Force ni madereva wako rafu sana barabarani
Zhong Tong ni basi za kazi kama Scania
Hata kama mtaalamu ila Yuko kwetu Hana nguvu bwanaaa....Huu uwanja wa nyumbani[emoji4][emoji4]mchina kajifunza uchawi africa
New Force ana mabasi yako pale Shekilango namba E vyuma vipya vimepark pale kituo cha mafuta zinasubiri madavoo zianze kupiga masafa.SAULI.Jini mkata ngebe.
Kwa mkapa hatoki mtuu[emoji1787][emoji4]Utamzidi uchawi mchina?
Duniani ukimaanisha sokoni Mchina anawakimbiza hao woteScania kwa ubora hana mshindani,labda Benzo,Volvo na Man ndio washindani wake huko duniani.Mchina kaiga vitu vingi kutoka nchi za magharibi bado mabus yanayokuja soko letu sio sawa na yale yanayopelekwa nchi za magharibi kutoka china hili hali scania ina ubora wa kueleweka.
Hiyo si hoja kuwa na vyuma sijui mifupa ya aina fulani au mpya.Kwa nini New Force wanaangukaanguka hovyo?New Force ana mabasi yako pale Shekilango namba E vyuma vipya vimepark pale kituo cha mafuta zinasubiri madavoo zianze kupiga masafa.
Achana na hiyo kampuni Sauli atashindana naye ila mwenzake anapiga tupa geuka 7 zinapanda 7 zinashuka
Kwahiyo mkwe nikienda Kyela nisipande hiyo gari eeehWanajifanya wajanja wanaingia njia za Watu bila hodiii
Basi,hawajui namna ya kuwa kibati.Gwaride limewashinda.Hapa ndipo point yangu ilipo
Kwa watu ambao hawajawahi kupanda New Force hawataweza kukuelewa
Ila madavoo wa New Force wanakuwa kibati sana
Kabisa.Haiwezekani alilaze basi kubwa namna hiyo kifo cha mende!Nunca!UYo dereva anatakiwa apigwe bakora mpaka matoke yachanike yalowe tepetepe kwa damu
Ushaambiwa shida ni madereva mkuuHiyo si hoja kuwa na vyuma sijui mifupa ya aina fulani au mpya.Kwa nini New Force wanaangukaanguka hovyo?
Mkurugenzi ameshaanza kulifanyia kazi hilo la madavooBasi,hawajui namna ya kuwa kibati.Gwaride limewashinda.
Kama ni hivyo,hawaziwezi mbio.Waende mwendo wao wa kobe/maringo tu.Mambio wawaachie wanaoziweza na hawaangushi gari kifo cha mende.Ushaambiwa shida ni madereva mkuu
Mziki wa New Force hata mkurugenzi Sauli mwenyewe anajua hauwezi hata waungane na Super Feo