Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Waulize abiria wa nyanda za juu kusini hizo ndio chuma pendwa kwaoKama ni hivyo,hawaziwezi mbio.Waende mwendo wao wa kobe/maringo tu.Mambio wawaachie wanaoziweza na hawaangushi gari kifo cha mende.
Nipo hapa Mnara wa Voda Makambako.Wote hawajakubaliana na sentensi yako.Wametanabaisha kwamba ni mara elfu mbili wakwee Kimbinyiks au hata Japonee!Waulize abiria wa nyanda za juu kusini hizo ndio chuma pendwa kwao
Hiyo barabara New Force katawala Kimbinyiko ana mabasi mangapi huko?Nipo hapa Mnara wa Voda Makambako.Wote hawajakubaliana na sentensi yako.Wametanabaisha kwamba ni mara elfu mbili wakwee Kimbinyiks au hata Japonee!
Nimewauliza hilo swali.Wamenijibu kwamba kila mmoja hupanda basi moja tu.Haijalishi kampuni Ina mabasi mangapi barabarani.Kama nimewaelewa hivi!Hiyo barabara New Force katawala Kimbinyiko ana mabasi mangapi huko?
Hizo chuma kwa kukusaidia tu hata zipate ajali hawajawahi kuacha kuzipanda otherwise kama wewe mnazi wa SauliN
Nimewauliza hilo swali.Wamenijibu kwamba kila mmoja hupanda basi moja tu.Haijalishi kampuni Ina mabasi mangapi barabarani.Kama nimewaelewa hivi!
Nimewauliza kama wanajibu kwa unazi tu,wamejibu kwamba,Mchina ni Mchina tu.Kushindana na Mropa Sauli bado.Hizo chuma kwa kukusaidia tu hata zipate ajali hawajawahi kuacha kuzipanda otherwise kama wewe mnazi wa Sauli
Mzee Sauli hauwezi mziki wa New ForceNimewauliza kama wanajibu kwa unazi tu,wamejibu kwamba,Mchina ni Mchina tu.Kushindana na Mropa Sauli bado.
Scania kwa ubora hana mshindani,labda Benzo,Volvo na Man ndio washindani wake huko duniani.Mchina kaiga vitu vingi kutoka nchi za magharibi bado mabus yanayokuja soko letu sio sawa na yale yanayopelekwa nchi za magharibi kutoka china hili hali scania ina ubora wa kueleweka.
Kabla mabasi ya China hayajaja hizo Scania, Isuzu, Volvo, Nissan Diesel na Iveco hazikuwahi kupata ajali?Upo sahihi kabisa,mchina bado yupo kwenye utafiti na basi zake ili ziweze kuwa compatible na hali yetu huku Africa
Hayakuwahi kupata "mara kumi" kwa mwezi mmoja tena kampuni(Itakuwa ka-mbuni) moja hiyohiyo.Kabla mabasi ya China hayajaja hizo Scania, Isuzi, Volvo, Nissan Diesel na Iveco hazikuwahi kupata ajali?
Kabla mabasi ya China hayajaja hizo Scania, Isuzu, Volvo, Nissan Diesel na Iveco hazikuwahi kupata ajali?
Utakuwa mgeni kwenye suala la usafiri wa mabasi.Hayakuwahi kupata "mara kumi" kwa mwezi mmoja tena kampuni(Itakuwa ka-mbuni) moja hiyohiyo.
Mchina sasa hivi ana brands nyingi za mabasi hapa Tanzania kaiacha Scania kwa mbali sanaZilikuwa zikipata ajali,ila angalia miundo mbinu wakati huo na sasa,angalia teknolojia ya magari wakati huo na sasa….ukija kwa sasa fanya tafiti njia hyo hyo ya dar-mbeya mabasi mangapi aina ya European na mchina yaliyopata ajali,halafu fuatilia mfumo wa kimakenika wa basi za European na basi za mchina unaweza ukapata kitu
Ndiyo alipata mara kumi kwa mwezi mmoja hadi kufilisika?Utakuwa mgeni kwenye suala la usafiri wa mabasi.
Unaikumbuka kampuni ya Mohammed alikuwa na Scania Polo zilikula mizinga mpaka akafilisika
Ndiyo alipata mara kumi kwa mwezi mmoja hadi kufilisika?
Ufuatiliaji ungekuwa mwepesi kwa kuanza kwako kutoa muongozo wa taarifa ilivyokuwa.Fuatilia uone naona bado mgeni kwenye hii sekta ya mabasi
Hapo issue ni madereva wao waache kuiga ligi za wenzao.Unaendesha Noah halafu unataka ukimbizane na dude Amazon?Madereva wabadilishwe, tuchukue wa nje
😀😀 Nadhani suluhisho, ni hayo mabasi yaanze kuendeshwa na wazunguHapo issue ni madereva wao waache kuiga ligi za wenzao.Unaendesha Noah halafu unataka ukimbizane na dude Amazon?