New Guinness World Record: Hybrid kutoka China imetembea Kilometa 2,200 bila kuongezwa mafuta!

New Guinness World Record: Hybrid kutoka China imetembea Kilometa 2,200 bila kuongezwa mafuta!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ni kutoka China tena.
IMG_0588.jpeg

Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji.
IMG_0589.jpeg

Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na battery la 22kWh.
IMG_0590.jpeg

Kwa trip nzima fuel consumption ilikua average ya 40 km/L.

Safari nzima ya kuvunja record ilichukua siku 4, na barabara haikua uniform ila ni kupanda na kushuka (tofauti ya elevation ya mita 1,600), joto na baridi (imeendeshwa hadi negative 8 degrees), kwenye rough road na lami.
IMG_0587.jpeg

Gari iliendeshwa na expert wakiwa na wawakilishi kutoka Guinness Record kama mashahidi.
IMG_0591.jpeg

Imagine full take unaenda Mwanza na kurudi.
 
Ni kutoka China tena.
View attachment 3142861
Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji.
View attachment 3142862
Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na battery la 22kWh.
View attachment 3142863
Kwa trip nzima fuel consumption ilikua average ya 40 km/L.

Safari nzima ya kuvunja record ilichukua siku 4, na barabara haikua uniform ila ni kupanda na kushuka (tofauti ya elevation ya mita 1,600), joto na baridi (imeendeshwa hadi negative 8 degrees), kwenye rough road na lami.
View attachment 3142866
Gari iliendeshwa na expert wakiwa na wawakilishi kutoka Guinness Record kama mashahidi.
View attachment 3142867
Imagine full take unaenda Mwanza na kurudi.
Nimeipenda sana , mhh ila basi tu tatizo pesa umaskini huu jamani mh!
 
Mleta uzi umeongea kishabiki sana........kwa gari gani?? Liko kama Toyota carmy..............unapajua mwanza wewe au unasikia tu.............hayo mascania yenyewe yanaimba ali jojo..........sembuse hiyo sambusa ya dagaa na vitangawizi..................alisikika mmakuwa wa Newala kwa nandonde
 
Mleta uzi umeongea kishabiki sana........kwa gari gani?? Liko kama Toyota carmy..............unapajua mwanza wewe au unasikia tu.............hayo mascania yenyewe yanaimba ali jojo..........sembuse hiyo sambusa ya dagaa na vitangawizi..................alisikika mmakuwa wa Newala kwa nandonde
Nilidhani unampinga kuwa amepotosha kwa kutafsiri tofauti na ilivyoandikwa, kumbe wewe upo kwenye angle na dhana ya haiwezekani?
Ondoka huko, utachelewa sana, siku hizi watu hawatumii tena type writer bali computer, na siku hizi watu wanapatikana muda wowote kwenye simu zao za mkononi, siyo za mezani.

Science and technology ipo kwa ajili ya visivyowezekana
 
Mleta uzi umeongea kishabiki sana........kwa gari gani?? Liko kama Toyota carmy..............unapajua mwanza wewe au unasikia tu.............hayo mascania yenyewe yanaimba ali jojo..........sembuse hiyo sambusa ya dagaa na vitangawizi..................alisikika mmakuwa wa Newala kwa nandonde
😆😆
 
Effect ya kuwekeza elimu kwa watu billion 1+ ni kubwa sana, China haizuiliki kitechologia na uwezo wa kuzalisha, wamagharibi watajuta kupanga uzazi
 
Hizi ndizo gari za kununua Sasa.Tatizo wabunge wetu kuwa vilaza wa kuamini kumiliki gari ni anasa ,Hivyo huweka Sheria za kijinga za kuongeza gharama kubwa ili mtz asinunue gari
 
Mleta uzi umeongea kishabiki sana........kwa gari gani?? Liko kama Toyota carmy..............unapajua mwanza wewe au unasikia tu.............hayo mascania yenyewe yanaimba ali jojo..........sembuse hiyo sambusa ya dagaa na vitangawizi..................alisikika mmakuwa wa Newala kwa nandonde
Utawajua tu wachawi
 
Ni kutoka China tena.
View attachment 3142861
Kampuni ya magari kutoka China ya Roewe wamevunja record ya Dunia kwa kutembeza gari lao la D7 zaidi ya Kilometa 2,200 bila kujaza mafuta wala kuchaji.
View attachment 3142862
Ni Plug-in Hybrid inayokuja na engine ya 1.5 L petrol inayotoa 110 hp na electrical motor inayotoa 200hp, na ikiwa na battery la 22kWh.
View attachment 3142863
Kwa trip nzima fuel consumption ilikua average ya 40 km/L.

Safari nzima ya kuvunja record ilichukua siku 4, na barabara haikua uniform ila ni kupanda na kushuka (tofauti ya elevation ya mita 1,600), joto na baridi (imeendeshwa hadi negative 8 degrees), kwenye rough road na lami.
View attachment 3142866
Gari iliendeshwa na expert wakiwa na wawakilishi kutoka Guinness Record kama mashahidi.
View attachment 3142867
Imagine full take unaenda Mwanza na kurudi.
Wasukuma kazi kwao kwenda, kurudi ni bure
 
Back
Top Bottom