Basi itoshe tuseme ndo tunajifunza nanyi kama walochezasha droo tu walikiri ni tafu group wewe ni nani mpaka uwakatalieKundi tafu dortmond ,psg,ac milan ?kuna namna ya kucheza champions league mpaka muelewe sio leo wala kesho team za kawaida sana hizo , dortmond na ac milan hawawezi kufuzu mbele ya Liverpool na Chelsea hata wawe wabovu sanaaa.
Nguvu gani mnayo mmelitia Taifa la uingereza aibuSisi so wapiga makelele kama nyie wengine tunakuzoom tu unavyohangaika na sisi tunaijua nguvu yetu we know we will bouns back
THE MAGPIES FOREVER
Hawa wakabidhi chelsea mbovu awawezi kufuzu mbele yao ,man u na Newcastle ni waleviAC Milan,PSG ,BVB hazina maajabu yoyote
Bado mmeburuza mkia dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeshatoka UEFANi suala la muda tu pia yawezekana akili zao zinawaza uefa league bado game za kuosha ila kwa yale mambo yenu yale tuache kwanza utaishia kutu tukana tu bure
Je wangefanya iwe timu ya mwisho kwenye group inaenda conference kama vile ya tatu inavyoenda europa? au ingekuwa unfair advantage ana maana timu itoke champions league ikakutane na timu za uwezo mdogo, hizi timu ndogo hazitapata nafasi kushinda taji?Safari pambanieni mkacheze Europa conference league
Mmetia aibu Sana kuburuza mkia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Isingekuwa fairJe wangefanya iwe timu ya mwisho kwenye group inaenda conference kama vile ya tatu inavyoenda europa? au ingekuwa unfair advantage ana maana timu itoke champions league ikakutane na timu za uwezo mdogo, hizi timu ndogo hazitapata nafasi kushinda taji?
Nakubali kabisa ,hili kundi Chelsea angemaliza hata nafasi ya 2Hawa wakabidhi chelsea mbovu awawezi kufuzu mbele yao ,man u na Newcastle ni walevi