jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Newton First law of Motion.....
An object at rest remains at rest, and an object in motion remains in motion at constant speed and in a straight line unless acted on by an unbalanced force!!
kwa kukufafanulia kwa muktadha wa kwa nini grader halitakiwi sasa....
#kitu chochote kilichotulia kitaendelea kutulia hadi pale kitakapo sukumwa(kusumbuliwa) na kani msukumo iliyozidi kiwango#
Ukitumia grader yafuatayo yatatokea
👉Kipande kilichoegemea pale Tony Touch kitaporomoka kwa kasi
👉 Mzigo uliopo juu na kasi utapelekea kuvunjika zaidi kwa vyumba vilivyopo chini
👉 Madhara ya mivunjiko au kubanwa kwa watu yatatokea(Yaani utakuwa umetengeneza 2nd collapse)
👉 kwa hiyo badala ya kuokoa utakuwa umewamalizia survivals
An object at rest remains at rest, and an object in motion remains in motion at constant speed and in a straight line unless acted on by an unbalanced force!!
kwa kukufafanulia kwa muktadha wa kwa nini grader halitakiwi sasa....
#kitu chochote kilichotulia kitaendelea kutulia hadi pale kitakapo sukumwa(kusumbuliwa) na kani msukumo iliyozidi kiwango#
Ukitumia grader yafuatayo yatatokea
👉Kipande kilichoegemea pale Tony Touch kitaporomoka kwa kasi
👉 Mzigo uliopo juu na kasi utapelekea kuvunjika zaidi kwa vyumba vilivyopo chini
👉 Madhara ya mivunjiko au kubanwa kwa watu yatatokea(Yaani utakuwa umetengeneza 2nd collapse)
👉 kwa hiyo badala ya kuokoa utakuwa umewamalizia survivals