Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu chini kuna joto.Keep delaying the "unbalanced force " as much as possible.
Kama hiyo ghorofa iliungana na ghorofa nyingine, ukiangalia kama iliegemea ghorofa nyingine, haikwenda chini direct... Basi wangejaribu kutumia upande ilipoegemea ili wapate upenyo wa kuingia ndani kama inawezekana,Kuna muda ikifika 2nd collapse itatokea kutokana na kupunguzwa kwa mawe pamoja na harakati za kugonga na kukata ....kuta.Mategemeo hapo hadi muda huo ukifika utakuwa umefanikiwa kuokoa wengi zaidi.
A sudden force kama ya kutumia grader inaweza kumaliza kila kilichobakia.
Kwa hiyo Law ipo palepale
Law of lotationKuna mkurupuko ulifanyika kwenye mv bukoba kuikata ili kutoa watu waliokuwa wanagonga kwa juu. Kilichotokea hata maiti zao hazikuonekana kabisa
Kosa dogo tu huo upande ulioegamia unaweza kushuka kwa kasi ya ajabu.Kama hiyo ghorofa iliungana na ghorofa nyingine, ukiangalia kama iliegemea ghorofa nyingine, haikwenda chini direct... Basi wangejaribu kutumia upande ilipoegemea ili wapate upenyo wa kuingia ndani kama inawezekana,
Lakini itakuwa ngumu kama wahanga wamezungukwa na kifusi...
Me pia nimeshangaa hiyo LAW ni mpya?😌Ikiwa maji yameanza kuwafikia ni habari njema
Una maanisha law of floatation?
Usikute hilo jengo halina hata ramaniGreat Argument!!
Kwa kufuata ramani ya jengo Wanaweza kukifikia kila chumba kwa vifaa visivyotengeneza "unbalanced force"
Njoo hapa eneo la tukio utoe hayo maelekezo,sio unademka hapo sebulen kwa shemeji tu nakutoa maelekezo ya google0Sasa hivi ni 24 hrs...utulivu na akili vinahitajika.
Wokozi wa namna hii huchukua muda ila mkitulia mafanikio ni makubwa
Mhh ndugu hilo Grader litagandamiza na kuongeza majanga zaidi.Grader au excavator?
Ndio ndio mkuu kwa kile kilichotokea kule bukobaUna maanisha law of floatation?
Unless acted on by unbalanced force,means utumie kifaa Chenye nguvu zaidi or uchimbe against a gravitational forceNewton First law of Motion.....
An object at rest remains at rest, and an object in motion remains in motion at constant speed and in a straight line unless acted on by an unbalanced force!!
kwa kukufafanulia kwa muktadha wa kwa nini grader halitakiwi sasa....
#kitu chochote kilichotulia kitaendelea kutulia hadi pale kitakapo sukumwa(kusumbuliwa) na kani msukumo iliyozidi kiwango#
Ukitumia grader yafuatayo yatatokea
👉Kipande kilichoegemea pale Tony Touch kitaporomoka kwa kasi
👉 Mzigo uliopo juu na kasi utapelekea kuvunjika zaidi kwa vyumba vilivyopo chini
👉 Madhara ya mivunjiko au kubanwa kwa watu yatatokea(Yaani utakuwa umetengeneza 2nd collapse)
👉 kwa hiyo badala ya kuokoa utakuwa umewamalizia survivals
Watu wanaongelea motor grader ambapo kiuhalisia hapo haihitajiki kabisa mashine za kufanya ktk matukio kama haya ni excuvator yenye mkono wa makucha, kukamatia, kunyanyua na kuweka pembeni. Winch za kunyanyulia na back hoe kwq kazi za hapa na paleMhh ndugu hilo Grader litagandamiza na kuongeza majanga zaidi.
hata kwa kutoa kidogo kidogo kuna muda forces hazitabalance hivyo litacollapse ...ingawa by that time at least utakuwa umewaokoa wengi zaidi kuliko a sudden unbalanced forceUnless acted on by unbalanced force,means utumie kifaa Chenye nguvu zaidi or uchimbe against a gravitational force