Newton's First law of Motion inakataa kutumia mitambo kufukua kifusi Ajali ya Kariakoo

Newton's First law of Motion inakataa kutumia mitambo kufukua kifusi Ajali ya Kariakoo

Watu wanaongelea motor grader ambapo kiuhalisia hapo haihitajiki kabisa mashine za kufanya ktk matukio kama haya ni excuvator yenye mkono wa makucha, kukamatia, kunyanyua na kuweka pembeni. Winch za kunyanyulia na back hoe kwq kazi za hapa na pal

Ndio ndio mkuu kwa kile kilichotokea kule bukoba
Ukowasikiliza wajuaji wa mitandaoni utaangamiza wengi
 
hata kwa kutoa kidogo kidogo kuna muda forces hazitabalance hivyo litacollapse ...ingawa by that time at least utakuwa umewaokoa wengi zaidi kuliko a sudden unbalanced force
Mkuu point Yako imelenga kuokoa watu wengi au kuhakikisha jengo alianguki????......kama ni kuokoa watu it's obvious lazma utake risk(kutumia excavator)....ila ukitaka jengo lisianguke.....utapoteza watu wengi maana the more time it takes the more people youu loose
 
Mkuu point Yako imelenga kuokoa watu wengi au kuhakikisha jengo alianguki????......kama ni kuokoa watu it's obvious lazma utake risk(kutumia excavator)....ila ukitaka jengo lisianguke.....utapoteza watu wengi maana the more time it takes the more people youu loose
Unatake risk kwenye uhai wa mtu?
You need to be pricise unapodeal na uhai wa mtu.
kuanguka kwa jengo unaongezea janga juu ya janga.
 
Back
Top Bottom