Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya vijana inayosema kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela

Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya vijana inayosema kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela

Huyo Nay wa mitego huwa hajui kuimba hata jina tu la kisanii alifeli kujiita wa mitego wakati ni wakiume, ni vile tu anayo hela ya kwenda studio
 
Nyimbo nzuri mnooo. Itoke remix.

Sisi ndo wenye ndoaa, wenye ndoaaa, tunakula tunda wenye ndoa, wenye ndoaaa, hatutaki ufuska wenye ndoaa, wenye ndoaaa, waache waparaneee. X200
 
Nyimbo nzuri mnooo. Itoke remix.

Sisi ndo wenye ndoaa, wenye ndoaaa, tunakula tunda wenye ndoa, wenye ndoaaa, hatutaki ufuska wenye ndoaa, wenye ndoaaa, waache waparaneee. X200
Wenye ndoa mnapenda kushindana sana🤣🤣🤣
 
Capture.PNG

hahahah, tronics hiyo, kitambo sana Veta
 
Huyo Nay wa mitego huwa hajui kuimba hata jina tu la kisanii alifeli kujiita wa mitego wakati ni wakiume, ni vile tu anayo hela ya kwenda studio
Mkuu nieleweshe mitego nikwajili ya mademu tu au Mimi sielewi MITEGO
 
Nashangaa mpaka sahizi hajakamatwa ccm wanapenda hizi ndo nyimbo tuwe tunasikiliza
 
Back
Top Bottom