Ney Wamitego ameendelea kupigilia msumari kauli ya vijana inayosema kataa ndoa kupitia wimbo wake wa bachela

Mwanaume unajiitaje wa mitego ?
Nachofahamu MTEGO ni mchongo lakini wanawake nao wanamitego Yao kwa wanaume

Mf,profesa kabudi palamagamba ,alitegwa sana na wanafunzi wakike wakati anafundisha kuvaa nguo fupi na kuonekana kwa chupi kwake ,ule ni MTEGO aingie Kingi Binti apate max zabure

rudia hapa

KAguta mseven ,kaweka MTEGO MITEGO kwa wapinzani nisahihishe kama nimekosea
 
Mwanaume kujiita wa mitego ni dalili za kuleft group
 
Mwanaume kujiita wa mitego ni dalili za kuleft group
sawa kwa mtazamo huo inawezekana anamtazamo wake nimuhimu vyombo vya habari kumtafuta na kumuuliza Skywalker lazima autaftwe amtafute
 
Hatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…