BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Sijui nimeoteshwa au vipi...ila next game pale France,Madrid anakula za kutosha tuuu....PSG 4-1 Madrid..
hifadhi hii comment
Ndoto za mchana hizo.mi mwenyewe nilijua madrinyonyo atapigwa lakini haikuwa hivyo. Sasa kwa taarifa yako morocco team wataipiga PSG kwao. Baada ya hapo MADRID Anaaga mashindano! End of the day Mfalme wa soka duniani kuwahi kutokea pamoja na timu yake kwa ujumla "wanaondoka na Ndoooooooo.