Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

alibashiri Al ahly kubeba ubingwa champion league
alibashiri yanga kupoteza fainal
alibashiri Far rabat kuwa mabingwa wA morocco
alibashiri meko kudedi 2years before
Alibashiri,alibashiri,alibashiri.
 
Natafuta miwani πŸ“›
 
Sasa anaishi kwa mashaka sana
 
vipi mzee naona bingwa wako ana hati hati ya kumaliza nafasi ya tatu
 
Mkuu Tusamehe tu πŸ™πŸ™
Tusubiri Msimu ujao mambo yatakuwa Sawa
 
Mkuu haya mambo mbona yashakwisha?
Ubingwa Tumekosa bado na kutusema mtuseme?

We are all humans with flesh
 
Ha
Hahahaha 🀣🀣🀣🀣🀣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.......thimbaaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…