Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

Siku nikiona watoto wa mawaziri au wabunge wa ccm wapo kayumba na mimi nitapeleka wanangu kayumba,watawala sio wajinga.
Usiige kunya kwa tembo mkuu. Wenzako wana hela za wizi.
 
Mkuu, Ur the true son of your father. Baba ako hakusingiziwa.
 
Watoto wamesha balehe mkuu au ndio bado malaika?
Wana elekea mkuu 14 16 changamoto zao zote na ziona na nakabiliana nazo, mimi nasomesha kwenye shule nzuri tu kwa kujinyima, ila hata siku moja sitegemee fadhira kutoka kwao kisaikolojia nimejipanga, bila kuwapa elimu nzuri wata nisumbua zaidi, nimejipanga kwa hilo mkuu.
 
Mkuu lengo ni kutegeneza matabaka watawaliwa vs watawala, hizo ni antoganistic classes ambozo ccm haitakuja kuziondoa ata siku moja, hawawezi kuruhusu mwanao asome na mtoto wa waziri Mchengerwa hata siku moja labda uwe fighter kweli kweli.

Watawala sio wajinga,wanajua wanacho kifanya ndio mana hawapeleki watoto wao st.kayumba.

Ili nawe upate kizazi bora chenye future nzuri usipeleke watoto st.kayumba.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Instead of just instructing our children by using English, they are Europeanizing them"

Hichi ndio kinachokuuma wala si lolote,western civilization huwezi pambana nayo wala kuipinga kwa ulimwengu wa sasa,nenda middle east sasahivi ni ulaya ndogo.

Shule za kayumba ni kwaajili ya masikini na makapuku huko hakuna elimu wala exposure kwa watoto acha kujifariji.
 
Simsomeshi mtoto ili aje anilipe fadhila. Namsomesha ili afanikiwe kwenye maisha yake yeye kama yeye. Hayo ndio malipo yake kwangu. Ninacho kisema Mimi ni pale mtoto anapo fikia kwenye adolescent age na akataka kufanya kitu ambacho ni kinyume na matarajio. Kwa mfano Mimi sidhani kama unalipa mamilioni ili mtoto wako aje awe dereva wa bodaboda. If so then what is the point of you paying the millions ?


Chukua hiyo mkuu: Mtoto hanaga uchungu na mzazi ila wewe mzazi ndio una uchungu nae... So unaweza kumlipia mamilioni halafu akiwa form six akasema ana acha shule kwa sababu anataka kuolewa na bodaboda au mganga wa kienyeji.

Ila kama umejiandaa kisaikolojia then big up sana mkuu
 
Shule kuu ya mtoto ni nyumbani anapoishi.
Hizo sijui Kayumba, sijui Saint, sijui international ni ziada tuu.

Tena hizi Elimu za kukariri sijui tena

mkuu wewe ni mtoto halali wa baba ako mzazi. Baba ako mzazi hakusingiziwa.
 

Mtoto wa English Medium ya Shinyanga vijijini anaweza kumshinda exposure mtoto anae soma Kayumba ya mjini daslamu? Let's say Gerezani Primary au Muhimbili Primary school?
 
Watoto wengi hawana wanachoelewa wanahitaji miongozo ya wazazi hawajui wakisoma nini watakuwa nani
Mimi nilisoma kayumba lakini mpaka namaliza shule nakuja mjini nilikuwa najiuliza watu wanaendaga maofisini kufanya kazi gani huko
Sikuwa na elewA wowote
Baadae sana nilikuja kuelewa na mda nao umepotea sikuwa na option yoyote
Kijijini kaka fundi ujenzi dada anauza genge wewe ndiyo first kusoma secondary
 
Sure kabisa watoto wanaendaga shule ya Msingi kukua tu. Akifika form three at least anaweza kujua anataka kuja kuwa nani
 
A friend of mine speaks English at home with his wife just to make their 2 year old son fluent in English. Housegirl hajui kitu na analea mtoto kutwa.
I was one day in a shock nilipoenda kwa friji kuchukua soda, when they visited me, they boy was screeming ota....ota...ota while his parents were outside. It took me sometime to understand anataka maji.
Simply angesema mma asingelia vile.
Ujinga ujinga tu, what is English?
 
🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…