Mzazi atafundisha mtoto wapi wakati muda mwingi Yupo Kazin na mtoto Yuko Shulen ,na hata likizo mtoto anakuwa nyumbani mzazi kazin ,Ni muda mchache mnoo ambao mzazi anakuwa na mtoto kuliko shuleni kuwa na mtoto ....piga hesabu mwaka unasiku 365 lakin katika hizo siku unakuta siku nyingi mtoto katumia kuwa na walimu Shulen ...mzazi siku chache ....
Sasa hizo siku alizotumia kuwa na mwalimu kama walimu hawamfunzi na kumkanya vzuri anakuwa mayai mayai hizo st Mary's sijui medium zinafanya mtoto anapooza kimaisha ya Duniani ...huko anafuliwa ,anapikiwa ,ananyoshewa nguo ,anafungiwa tai ,usafi hadi kiti anachokaa anapangusiwa ,bustani ya Shule hajui hata maua yanapandwa vipi ,yaani mtoto anakuwa boss....
Kayumba mtoto anakuwa strong kuanzia hatua ya Kwanza anayoingia Shule ,asubuhi tu anaingia Shulen anajua usafi unahitajika ,kufagia shuleni uwanja ,chooni ,darasani ,usafi wake yeye mwenyewe shati ,viati soksi mwalimu tu anapita kukagua ukiwa hovyo ni fimbo ,,tai utajua kufunga tu automatic ,,,maua utaleta wewe na utapanda shuleni ,utamwagilia maji ....utajua kuelekezwa kidogo na kujiongeza kutafuta ...maana usipofanya hivo Ni fimbo tu .....shuleni atafundishwa adabu ,kusalimia ,....aiseee hiki kitu hauwezi kukiona english medium maana huko mwanafunzu ndio boss[emoji23],,,wakati kayumba mwalimu ndio boss so anahakikisha watoto wako msatari mnyoofu ....
Medium mtoto anaweza mvimbia mwalimu hata asimsalimie na walimu wenzake wakamsupport mwanafunzi maana mwanafunzi Ni boss ndio anapesa ,kayumba unaingia stafu ofsin Kwa adabu na dua zote na heshimu maana ukifanya utovu WA nidhamu utakula fimbo mpaka Akili itakukaa sawa ......mtoto anakomaa toka shuleni mpaka nyumbani .....
Kayumba inakufundisha the real meaning of current life tusifichane bana ,,,,hizo medium zinawafanya watoto kuwa goigoii...