Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

Bado unasomesha watoto wako huku unawaza white collar jobs,bado una safari sana...
English medium zitaendelea kuwa suluhisho ya kizazi hiki Cha competition,sio mtoto analetewa mnyarwanda tu wa hapo Kigali anashindwa kujielezea😥
mkuu kwani kujielezea ndio kipimo cha elimu bora?
 
Mzazi atafundisha mtoto wapi wakati muda mwingi Yupo Kazin na mtoto Yuko Shulen ,na hata likizo mtoto anakuwa nyumbani mzazi kazin ,Ni muda mchache mnoo ambao mzazi anakuwa na mtoto kuliko shuleni kuwa na mtoto ....piga hesabu mwaka unasiku 365 lakin katika hizo siku unakuta siku nyingi mtoto katumia kuwa na walimu Shulen ...mzazi siku chache ....

Sasa hizo siku alizotumia kuwa na mwalimu kama walimu hawamfunzi na kumkanya vzuri anakuwa mayai mayai hizo st Mary's sijui medium zinafanya mtoto anapooza kimaisha ya Duniani ...huko anafuliwa ,anapikiwa ,ananyoshewa nguo ,anafungiwa tai ,usafi hadi kiti anachokaa anapangusiwa ,bustani ya Shule hajui hata maua yanapandwa vipi ,yaani mtoto anakuwa boss....


Kayumba mtoto anakuwa strong kuanzia hatua ya Kwanza anayoingia Shule ,asubuhi tu anaingia Shulen anajua usafi unahitajika ,kufagia shuleni uwanja ,chooni ,darasani ,usafi wake yeye mwenyewe shati ,viati soksi mwalimu tu anapita kukagua ukiwa hovyo ni fimbo ,,tai utajua kufunga tu automatic ,,,maua utaleta wewe na utapanda shuleni ,utamwagilia maji ....utajua kuelekezwa kidogo na kujiongeza kutafuta ...maana usipofanya hivo Ni fimbo tu .....shuleni atafundishwa adabu ,kusalimia ,....aiseee hiki kitu hauwezi kukiona english medium maana huko mwanafunzu ndio boss[emoji23],,,wakati kayumba mwalimu ndio boss so anahakikisha watoto wako msatari mnyoofu ....

Medium mtoto anaweza mvimbia mwalimu hata asimsalimie na walimu wenzake wakamsupport mwanafunzi maana mwanafunzi Ni boss ndio anapesa ,kayumba unaingia stafu ofsin Kwa adabu na dua zote na heshimu maana ukifanya utovu WA nidhamu utakula fimbo mpaka Akili itakukaa sawa ......mtoto anakomaa toka shuleni mpaka nyumbani .....

Kayumba inakufundisha the real meaning of current life tusifichane bana ,,,,hizo medium zinawafanya watoto kuwa goigoii...
Upo sahihi kabisa mkuu. And this is what I am talking about in my thread
 
Eti mama mtu anasema mtoto wake amerogwa.[emoji1787][emoji1787]

Kiufupi inatakiwa kusomesha hizo shule Kwa tahadhari,Mimi nawasomesha hizo hizo.private ila sio zaidi ya mil.1 Kwa gharama zote,sitaki ujinga kabisa.
Kumbe umezaa
 
Kuna mtoto, kwao pesa zipo, anapelekwa shule za gharama. Mtoto yupo darasa la nne anafungwa viatu kamba, anafungwa vifungo vya shati. Mtoto wa kike anafuliwa Pichu mpaka darasa la sita. Kwa ujumla wanakuwaga wapumbavu kichwani.
Hatari sana
 
Kuna kitu kipo nyuma ya yeye kutaka kuwa dereva
Nikiwa mdogo nilipenda sana kuwa miss,hii ilichangiwa na mama alipenda niwe miss,kila siku jioni nilikuwa nafanya catwalk na viatu virefuuu[emoji3][emoji3][emoji3].Nakumbuka mzee alikuwa anamind sana haya mambo ya mama nikimaliza zoezi la catwalk alikuwa ananiita ananiambia mimi sikupangii unataka kuwa nani baadae lakini jua tu kuna uzee,kuna baadhi ya kazi zina limit ya age jitahidi upate kazi ambayo haitoathiriwa na age yako
Alikuwa ananipa mfano ukitaka kuwa dancer ujue ukifika 40’s viungo vinauma itakuwa mwisho wako
Nakumbuka mimi na kaka zangu alikuwa anatuambia haya mambo mara kwa mara na toka tukiwa wadogo tuliweza kujua tunataka kuwa nani na hivyo ndivyo tumekuja kuwa.Kidogo walichokosea kwenye skills and talents hawakutufatilia sana tumezipush wenyewe kiubishi
My point is sauti ya mzazi inatakiwa kuwa kubwa kuliko sauti nyingine yoyote kwa mtoto.Ninaposema sauti iwe kubwa sio kumfokea,ila sauti ya wazazi iishi ndani ya watoto,how?that’s the puzzle ya mzazi kutegua huo mtego
Tena kwa watoto wa sasa hivi kuna sauti nyingi sana sababu ya technology etc
Mzazi ukipoteza sauti yako kwa mwanao jiandae kustaajabishwa na maamuzi yake.
Huyu mtoto badae atajiuliza kwanini alichagua udereva tu while angeweza kuongeza na ujuzi mwingine pia.Mimi nawalaumu wazazi wake wala wasishangazwe sana na maamuzi yake
Sahihi kabisa mkuu
 
Si
Usiige kunya kwa tembo mkuu. Wenzako wana hela za wizi.
Sio kweli na huwezi dhibitisha otherwise is the way of throwing away from emotions mental pains ya wenzako kulipa Ada huko na wewe hunazo,so unatafuta namna ya kuhalalisha ukweli wako ndio iwe kanuni ili upate ahueni ukiona wengi wanahama private schools.
 
Si

Sio kweli na huwezi dhibitisha otherwise is the way of throwing away from emotions mental pains ya wenzako kulipa Ada huko na wewe hunazo,so unatafuta namna ya kuhalalisha ukweli wako ndio iwe kanuni ili upate ahueni ukiona wengi wanahama private schools.
Okay
 
mkuu kwani kujielezea ndio kipimo cha elimu bora?
Definitely! tatizo wewe elimu unaipima Kwa ajira ndio unapokosea....elimu ni uwezo wa kuelewa na kupambana na changamoto zinazokuzunguka na kuweza kuzitatua...mkuu inaonyesha wewe ukiona bank teller au mwalimu ndio unaona ana elimu Bora sana au sio?
 
Definitely! tatizo wewe elimu unaipima Kwa ajira ndio unapokosea....elimu ni uwezo wa kuelewa na kupambana na changamoto zinazokuzunguka na kuweza kuzitatua...mkuu inaonyesha wewe ukiona bank teller au mwalimu ndio unaona ana elimu Bora sana au sio?

English Mediums wanafundishwa kukariri ili wafaulu mitihani. No skills
 
...shule za kayumba ndio shule gani? Au ni jina la kijiji au mtaa?
 
Back
Top Bottom