Kumbe nyie wenzangu mnajuana kabisaaaaaaaa [emoji1787]!! Mm mgeni wacha nipite zangu hivi basi[emoji4]Wenzio tushakulana humu hadi tumerudia halafu unafanya utani
Humu tuna watu wa kila idara...polisi mahakama hospitalini shuleni n.k n.k yani full undugu na connection
Nasubiria kwa hamu hapaa mjomba!! KaribuuuNaku phone call kabisaa aunt yangu 😊😊😊
Nina mapungufu yangu ya kutosha sema keyboard tu labda zinanistiriI told you unastahili kuwa mke wa mume anayejielewa. Nimeona wanaume wengi tunavutiwa na tabia yako
Nilitaka kulike apa nikakumbuka ni wa upinde,nikatoka mbio,super Sonic speed[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie ukweli n upendo au chura[emoji23][emoji23]Utakuaje single wakati mimi nipo kwani ukiwa mfupi nini unapungukiwa kinachomatter ni upendo sio size ya mtu
Wee hutaki?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fellowship [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila la kheri katika kupata partners wapendwaa!!
Mgeni wapii karibu ukae kitako me ntakuwa mwenyeji wakoKumbe nyie wenzangu mnajuana kabisaaaaaaaa [emoji1787]!! Mm mgeni wacha nipite zangu hivi basi[emoji4]
Wachungaji, mitume na manabii, waganga wa kienyeji wamejaa humu pia usilisahau hilo.Humu tuna watu wa kila idara...polisi mahakama hospitalini shuleni n.k n.k
Si kila mtu anavutiwa na churaMwambie ukweli n upendo au chura[emoji23][emoji23]
Nimecheka hapa hadi baas, wengine sie watazamajiii.Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mamamaeee
😂😂Vile watu wanakaushiana na hawapeani supportIla sasa huu uzi hakuna mtu atalike comment ya mtu😀😀😀
😂😂Ndo maana tukasema wa kudanganyana
Tutaomba na petition uwekewe tv na feni uangalie chaneli ya MMUKwakweli na mje kaburini kwangu Liwepo shada la JF MMU