Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Wenzio tushakulana humu hadi tumerudia halafu unafanya utani

Humu tuna watu wa kila idara...polisi mahakama hospitalini shuleni n.k n.k yani full undugu na connection
Kumbe nyie wenzangu mnajuana kabisaaaaaaaa [emoji1787]!! Mm mgeni wacha nipite zangu hivi basi[emoji4]
 
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mamamaeee
Nimecheka hapa hadi baas, wengine sie watazamajiii.
Bebezi wetu hawako JF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…