Kumbe nyie wenzangu mnajuana kabisaaaaaaaa [emoji1787]!! Mm mgeni wacha nipite zangu hivi basi[emoji4]Wenzio tushakulana humu hadi tumerudia halafu unafanya utani
Humu tuna watu wa kila idara...polisi mahakama hospitalini shuleni n.k n.k yani full undugu na connection